Rais wa TFF, Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa washikiliwa na TAKUKURU

EFM wamethibitisha,Clouds Fm wamethibitisha. Halafu sio kuonga ni kutumia vibaya madaraka yao,walikua wanakula pesa za TFF.
Kwa hiyo inatakiwa utoe ufafanuzi ya kwamba wamekamatwa kwa matumizi mabaya ya madaraka kipindi cha uongozi wao na sio kama taarifa inavyosema kuwa wamekutwa wakitoa rushwa kwa wajumbe. Pia inabidi uelewe ya kwamba hizi bado ni tuhuma tu zitakuwa valid baada ya kuthibitishwa na mahakama, kipindi cha uchaguzi kina mambo mengi sana, jiulize kwanini wakamatwe sasa? Kuna kikundi cha watu kinatengeneza mazingira baada ya kuona Malinzi njia nyeupe urais kwa Mara ya pili, hawatamuweza kwani huu ni mchezo wa kitoto sana
 
Umeongea uhalisia!
 
Sheria za mpira zinasemaje kwa yule aliye na kashfa kama hizo bado anazo sifa za kuwa mgombea hadi mahakama ithibitishe?
Kwann hizi kashfa zinaibuka wakati huu wa uchaguzi? Je uko nyuma zilikuwa azijatambulika?
 

Ni aibu kubwa kwa mgombea wa Urais kukutwa na tuhuma,tuhuma tu inaonyesha hafai tena kuwa Rais.
 
Hivi kumbe huko TFF kuna hela mpaka kufikia kutoa rushwa maanake mimi naonaga hamna hata kitu huko!!!
 
Sheria za mpira zinasemaje kwa yule aliye na kashfa kama hizo bado anazo sifa za kuwa mgombea hadi mahakama ithibitishe?
Kwann hizi kashfa zinaibuka wakati huu wa uchaguzi? Je uko nyuma zilikuwa azijatambulika?
Skendo za malinzi refer kashfa yake ya upangaji matokeo na rushwa na uthibitisho ulitolewa mwaka Jana
 
Unaushahidi wowote wa kukanusha hili au unaleta utetezi usikuwa na tija? Mpaka sasa ni tetesi na habari hizo ziko kila kona basi ajitokeze akanushe sio kukutuma wewe bila data
 
Reactions: Dkt
Apewe huyo afisa wa TRA.. bila shaka hana Ushabiki wa klabu hizi mbili. Malinzi aliegemea mno upande mmoja.
Yupo Wizara ya Viwanda na Biashara na si TRA
Alimaliza CBE,Mayayi anajielewa,aliamua kuacha mpira huku akiwa na nguvu ili arudi shule kujiendeleza
Suala la kuegemea upande mmoja huwezi kulisema kabla mtu hajaaingia madarakani,Ally Mayayi ni mchezaji wa zamani ya Yanga,mpenzi na mwanachama mwenye kadi ya Yanga.

Kwenye uongozi wa soka Tz,huwezi kukwepa Usimba na Uyanga
 
Btw, Ally Mayai hana shule?
 
Kuna mgombea yuko TRA, sio Ali Tembele..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…