Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 4,260
- 7,033
Mbona wakienda kuwekeza ulaya hawakatazwi Tena wamechangia pakubwa sana kuufanya mpira upendeze.Rais wa UEFA Ceferin: "Usajili wanaoufanya SAUDIA ni makosa kwa soka la kwao. Wawekeze hizo pesa kwenye academy, walete makocha na waendeleze wachezaji wao wenyewe, kununua wachezaji wanaomalizia soka lao sio mfumo wa kuendeleza soka, kosa kama hilo walilifanya China.”
View attachment 2661869
Waache wajifrahishe bhna alaaaah