Kuna kitu Unashindwa kuelewa, sio kwamba club za china ziliishiwa pumzi, serikali iliona ni uwekezaji usio na tija, wakaja na mpango wa miaka 100 kuboresha mpira wao wakaachana na huu ujinga wa kununua ma star
Serikali kupitia chama Cha mpira wakaweka limit ya Kila club inayopaswa kutumia kwa mwaka, walifanya hivyo makusudi ili club zisiweze ku afford kuwaleta Hawa ma star wa ulaya na kuwalipa pesa kichaa
Kuna club iliyokua bingwa nimesahau jina walikiuka hii sheria wakashushwa daraja kwa miaka mitano ili iwe fundisho, Yani bingwa akashushwa daraja miaka mitano
Hapo ndo huu upumbavu ulipokoma