Rais wa UEFA Ceferin atoa Onyo kinachoendea Saudi Arabia

Rais wa UEFA Ceferin atoa Onyo kinachoendea Saudi Arabia

Tuwe serious basi. Yaani Wadhamini waache kupigana vikumbo kwenye ligi yenye Mbappe, Haaland, De Brune, Jude Bellingham na mastaa wengine kibao, Wapungue waende kuonesha ligi za Waastafu?!

Tuwe tunajitahidi kupreview tunachoandika kabla hatujapost.
Kuondoka messi na Robaldo ulaya tayari UEFA wamepata pigo ..mbape,Halland na wenzao ukiwakusanya wote awawezi kufikia mvuto na ushawishi wa Ronaldo au messi na washukuru sana messi kaenda USA nje na apo ulaya ingeenda kupoteza wawekezaji kwenye haki za kurusha matangazo..nakupa mfano kidogo tu itokee leo hii Inter miami wanakutana na Al nasry maybe na PSG anakutana na Man city unafikiri mechi ipi kati ya izo ingepata views wengi na TV kuigombania kuionesha?
 
China serikali iliingilia kati wakaweka vikwazo club zisitoe pesa nyingi kusajili wachezaji, nadhani waliweka rungu la Kodi kubwa huu upumbavu ukaisha
China usiifananishe na Saudi Arabia kwenye pato la mtu mmoja mmoja saudi arabia kumbuka hawana tax mzee yani unapewa fungu lako kama lilivyo
 
Waache ujinga wakati waarabu wanapeleka pesa ulaya kwa kununua man City na PSG hawakupiga kelele Leo ndio wameshituka wachezaji nyota wanaenda uarabuni, ni wivu unawasumbua.
Jamaa yuko sahihi. Simba/yanga ikicheza Ni Watanzania wangapi wanapata nafasi. Wengi Ni wageni.

Na ndiyo maana hatuna timu ya maana ya taifa. Ligi yetu watu wanakuja kuchuma hela wanaondoka.

Hawa akina Mayele wametengenezwa.

Jiulize Tz Ina wachezaji wangapi ktk ligi ya Uganda,Congo,Ghana
nk
Asec mimosa inazalisha vipaji na kila baada ya msimu wa CAFCL au cafcc wanafanya biashara kubwa Sana.
 
Jamaa yuko sahihi. Simba/yanga ikicheza Ni Watanzania wangapi wanapata nafasi. Wengi Ni wageni.

Na ndiyo maana hatuna timu ya maana ya taifa. Ligi yetu watu wanakuja kuchuma hela wanaondoka.

Hawa akina Mayele wametengenezwa.

Jiulize Tz Ina wachezaji wangapi ktk ligi ya Uganda,Congo,Ghana
nk
Asec mimosa inazalisha vipaji na kila baada ya msimu wa CAFCL au cafcc wanafanya biashara kubwa Sana.
Watanzania wengi ndoto Yao ni kucheza Simba au yanga, Nyoni aliitwa timu ya Taifa akitokea Burundi.
Kuna academy ngapi Tanzania, kama tumeshinda kutengeneza academy za maana usitegemee tutapata wachezaji bora.
Tanzania tunazalisha wachambuzi wengi kuliko wachezaji, makocha na waamuzi Bora na pia serikali Kuna kipindi ilifuta michezo ukiachan na uvamizi wa viwanja.
 
Mpira una njia zake, China walianza kwa fujo wakachemka hata hawa Wasaudi watachemka.
Kwa pesa waliyonayo hawa jamaa, si ajabu mchezaji akakimbilia huko akiwa 20's , tofauti na huko China ambako walienda wachezaji walioisha kabisa viwango na wasio na majina makubwa sana.


Hawa hawawezi kuanguka kama China, njia za mpira wameshazijua kwa kuwekeza kwenye baadhi ya vilabu vikubwa huko Ulaya kama jinsi ambavyo MAN UTD wanaichukua.
 
Kwa pesa waliyonayo hawa jamaa, si ajabu mchezaji akakimbilia huko akiwa 20's , tofauti na huko China ambako walienda wachezaji walioisha kabisa viwango na wasio na majina makubwa sana.


Hawa hawawezi kuanguka kama China, njia za mpira wameshazijua kwa kuwekeza kwenye baadhi ya vilabu vikubwa huko Ulaya kama jinsi ambavyo MAN UTD wanaichukua.
Hivi vina basic hata sisi Tz kuna step tumeiruka,matokeo yake tuna ligi nzuri ila timu ya taifa ya hovyo.

China walikuwa na ligi nzuri ila timu ya taifa hovyo. Hata hao Saudi watakuwa hivyo hivyo.
 
Wewe ndo unaleta ushabiki wako na utim ronaldo hapa.
Sasa mtu anakaa bench timu mbovu kama manU kuna mchezaji pale?

We ukiambiwa unatafuta matokeo mechi ngumu kwenye tim yako umchukue ronaldo au mayele utamchukua nan? Be honest kabisa.
(Na mimi sio yanga)
Acha kumshushia heshima Ronaldo kiasi hicho
 
Kauli yake inaweza kuwa sahihi na inaweza isiwe sahihi.

Kwanini isiwe sahihi.

Kwasababu mpira ni biashara na biashara ni makubaliano ya pande zote mbili.

Mchezaji anapoona sehemu kuna maslahi makubwa anaweza kuondoka licha ya kwamba hakuna ushindani kwenye ligi hiyo na kuwa na wasiwasi kushuka kiwango.

Kwa hiyo kama unakataa wachezaji wasiende basi ingia kwenye competition ya dau na hao waarabu then mwenye dau nono ndio atayeamua hatma ya mchezaji ma sio kuweka vitisho.

Kwanini kauli yake kwa namna nyingine ipo sahihi.

Kaja na mfano wa china ila mi nakuja na mfano wa Afrika.

Hapa Africa ukiangalia nchi ambayo ina rank za juu kwenye FIFA utaona ni Senegal.

Lakini ukiangalia hii Senegal katika Clubs za ndani hutaona rekodi za kuridhisha kulingana na hadhi yake inayotambuliwa na FIFA.

Hiyo ni kwasababu gani?

Kwasababu Senegal wamefanikiwa kutengeneza wachezaji wengi wazuri ambao wako kwenye Clubs bora zenye ligi yenye ushindani.

Na ndio maana unaona linapokuja swala la National team, Senegal wamefanya makubwa.

Kama Saud walikuwa na lengo la kufanya nchi yao iwe kwenye rank za juu kwenye mpira basi walipaswa kuanza na wachezaji wa ndani.

Labda kuwapeleka huko kwenye academic za ulaya wapate training au kuita proffesionals waje wawafundishe.
 
Acha kumshushia heshima Ronaldo kiasi hicho
Wala simshusii heshima sema umri ni ukuta na ukwel ni kuwa soka lake limeshuka sasa...Btw namuheshim sana Cr7 ni legend kama Ronaldinho,Zidane,rooney,Ibrahimovic,Gerd Muller,Lewandoski nk. But That's about it..

Lakini Kwenye debate ya Goats bado tunao watatu tu mpaka sasa ambao ni Pele, Maradona na wa tatu unamjua.
 
Kukua kwa hatua ndio imefikisha epl hapo ilipo wa saudia wanajaribu kuruka
Wazingalie ligi za ujerumani spain italy pamoja nakua na wachezaji maarufu bado hawajafikia
 
Wala simshusii heshima sema umri ni ukuta na ukwel ni kuwa soka lake limeshuka sasa...Btw namuheshim sana Cr7 ni legend kama Ronaldinho,Zidane,rooney,Ibrahimovic,Gerd Muller,Lewandoski nk. But That's about it..

Lakini Kwenye debate ya Goats bado tunao watatu tu mpaka sasa ambao ni Pele, Maradona na wa tatu unamjua.
John Bocco
 
Sjakuelewa..hizo long term na short unamaanisha solution za nini?
Maana WC host Qatar washaharibu mambo sodhan kama litarudi tena uarabuni ndani ya hii miaka 100 tuliyo hai
Saudia wanahitaji kuhost WC ili kuvutia watalii zaidi.
Unawaambia wawe na academy ya nini wakati wao shida yao ni kuwa na mabalozi watakaowezesha kupatikana kwa nafasi ya kuwa host wa WC..

#YNWA
 
Back
Top Bottom