Eeh mkuu nilikuwa sijui kumbe hadi Beyonce ni dangaπ π€£ aiseeWaliharibu vip , kuwakataza watu wasinyanduane ? Kukataza pisi zisiende beach na vyupi ? Kupiga mkwara madanga ya Ulaya na America akina Beyonce ? Kuwalaza watu kwenye makontena ππππππ waarabu walizinguaaaaaaaaaa.....Kobazi hawataona kombe tena
Mwarabu sio bahili kama mchina linapokuja suala la kumwaga pesa. Hizo teams za Saudi Arabia zinamilikiwa na makampuni makubwa sana yenye thamani ya ma trillion ya dollar. Haziwezi kuyumba kama zilivyoyumba teams za chinaChina serikali iliingilia kati wakaweka vikwazo club zisitoe pesa nyingi kusajili wachezaji, nadhani waliweka rungu la Kodi kubwa huu upumbavu ukaisha
Kuna kitu Unashindwa kuelewa, sio kwamba club za china ziliishiwa pumzi, serikali iliona ni uwekezaji usio na tija, wakaja na mpango wa miaka 100 kuboresha mpira wao wakaachana na huu ujinga wa kununua ma starM
Mwarabu sio bahili kama mchina linapokuja suala la kumwaga pesa. Hizo teams za Saudi Arabia zinamilikiwa na makampuni makubwa sana yenye thamani ya ma trillion ya dollar. Haziwezi kuyumba kama zilivyoyumba teams za china
China mpira ulienda kama bahati mbaya wachina hawana passion na mpira tofauti na waarabuKuna kitu Unashindwa kuelewa, sio kwamba club za china ziliishiwa pumzi, serikali iliona ni uwekezaji usio na tija, wakaja na mpango wa miaka 100 kuboresha mpira wao wakaachana na huu ujinga wa kununua ma star
Serikali kupitia chama Cha mpira wakaweka limit ya Kila club inayopaswa kutumia kwa mwaka, walifanya hivyo makusudi ili club zisiweze ku afford kuwaleta Hawa ma star wa ulaya na kuwalipa pesa kichaa
Kuna club iliyokua bingwa nimesahau jina walikiuka hii sheria wakashushwa daraja kwa miaka mitano ili iwe fundisho, Yani bingwa akashushwa daraja miaka mitano
Hapo ndo huu upumbavu ulipokoma
Wanaendesha vipi Mambo Yao bila tax
Kauli yake inaweza kuwa sahihi na inaweza isiwe sahihi.
Kwanini isiwe sahihi.
Kwasababu mpira ni biashara na biashara ni makubaliano ya pande zote mbili.
Mchezaji anapoona sehemu kuna maslahi makubwa anaweza kuondoka licha ya kwamba hakuna ushindani kwenye ligi hiyo na kuwa na wasiwasi kushuka kiwango.
Kwa hiyo kama unakataa wachezaji wasiende basi ingia kwenye competition ya dau na hao waarabu then mwenye dau nono ndio atayeamua hatma ya mchezaji ma sio kuweka vitisho.
Kwanini kauli yake kwa namna nyingine ipo sahihi.
Kaja na mfano wa china ila mi nakuja na mfano wa Afrika.
Hapa Africa ukiangalia nchi ambayo ina rank za juu kwenye FIFA utaona ni Senegal.
Lakini ukiangalia hii Senegal katika Clubs za ndani hutaona rekodi za kuridhisha kulingana na hadhi yake inayotambuliwa na FIFA.
Hiyo ni kwasababu gani?
Kwasababu Senegal wamefanikiwa kutengeneza wachezaji wengi wazuri ambao wako kwenye Clubs bora zenye ligi yenye ushindani.
Na ndio maana unaona linapokuja swala la National team, Senegal wamefanya makubwa.
Kama Saud walikuwa na lengo la kufanya nchi yao iwe kwenye rank za juu kwenye mpira basi walipaswa kuanza na wachezaji wa ndani.
Labda kuwapeleka huko kwenye academic za ulaya wapate training au kuita proffesionals waje wawafundishe.