much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kwani nyie mna nini ambacho sisi hatuna mpaka nyinyi mjiite matajiri? Au njaa iliyokithiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kwa watu waliozaliwa na kulelewa kwenye mfumo wa ujamaa kama wewe utashangaa kwa hili, lakini sisi hatuoni kuwa issue, ni wazi kwamba Mfaransa yupo na maslahi yake, na sisi pia tuna maslahi yetu, hivyo ni mwendo wa kila mmoja kuweka maslahi yake kwenye meza, mjifunze kitu, tatizo nyie mumezoea kuomba omba hamjui kufanya biashara na deals, mnaita kila mtu ndugu, hamjui dunia huendeshwa kimaslahi, ndio maana mpo maskini miaka yote hii japo mna kila kitu, maana zinaliwa bila ya nyie kujua jinsi ya kucheza hii michezo.
Unajua nini maana ya "Quid pro quo"
Sent using Jamii Forums mobile app