Rais wa Ukraine avaa gwanda na kuingia uwanja wa vita

Rais wa Ukraine avaa gwanda na kuingia uwanja wa vita

Vita ina propaganda nyingi sana

Wakati wa Vita ya Kagera tulishuhudia
 
Vipi kuhusu watu weusi waliomuuza huyo mtoto? Usiwe biased kijana,angalia pande zote. Waliokuwa mstari wa Mbele kuuza Watumwa NI Machief weusi wenzetu. Sasa aliyenunua ana kosa gani?
[emoji23][emoji23][emoji23],Hao Wazee wetu walikuwa Wajinga,lkn Wazungu ni mavi sana.
 
Safi sana. Anawapa morali wapiganaji wake kupambana mpaka dakika ya mwisho
 
Mbona kama anasindikizwa kutoroka kupitia msituni?
 
PI
Mwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131662

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
picha na maelezo imenipa tafsiri nyingi sana za kuumiza! kifupi ni kama bado tuko kwenye banda
 
Back
Top Bottom