Anatoroka nchi kupitia porini. Anga limefungwa, hana pa kukimbilia.Rais wa #Ukraine, Volodymyr Zelensky amevaa Gwanda za Jeshi na kuingia "Uwanja wa Vita" kutetea nchi yake
Majeshi ya #Urusi yameripotiwa kuzidi kuingia katika Mji Mkuu wa Ukraine, Kyiv
Awali, kulikuwa na tetesi kuwa Rais huyo amekimbia nchi, ambapo alijitokeza na kuomba Wananchi wapuuzie taarifa hizo
View attachment 2131566View attachment 2131567View attachment 2131568
Kama aliyenunua ni takataka, vp kuhusu muuzaji?Mwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131662
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Wazazi wa huyo mtoto aliyeuzwa nao unawapa tusi gani mkuu?Mwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131662
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu watu weusi waliomuuza huyo mtoto? Usiwe biased kijana,angalia pande zote. Waliokuwa mstari wa Mbele kuuza Watumwa NI Machief weusi wenzetu. Sasa aliyenunua ana kosa gani?Wazungu ni mavi sana.
Umesahau aliyemuua Akwilina, akam'bambikizia mwingine kesi ya mauaji!Yeye ndo kaua?
Kiev kuna pori!!!mbona ameenda kuvaa misituni poroni!!
[emoji23][emoji23][emoji23],Hao Wazee wetu walikuwa Wajinga,lkn Wazungu ni mavi sana.Vipi kuhusu watu weusi waliomuuza huyo mtoto? Usiwe biased kijana,angalia pande zote. Waliokuwa mstari wa Mbele kuuza Watumwa NI Machief weusi wenzetu. Sasa aliyenunua ana kosa gani?
Ukute walimchukua kwa nguvu.Wazazi wa huyo mtoto aliyeuzwa nao unawapa tusi gani mkuu?
Amesema wazazi walimuuzaUkute walimchukua kwa nguvu.
picha na maelezo imenipa tafsiri nyingi sana za kuumiza! kifupi ni kama bado tuko kwenye bandaMwaka 1955 Wakati Congo ipo Chini ya Ubeligiji
-Baba mmoja wa kizungu Alinunua mtt wa kiafrika na kumuweka kwenye wavu kwajili ya watoto wake kuchezea kama mdoli,.
[emoji26][emoji26] wazungu ni [emoji706][emoji706] View attachment 2131662
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Yupo anatorokaMbona kama anasindikizwa kutoroka kupitia msituni?
Sio kidogo banda lenyewe wanaimarisha kila sikuPI
picha na maelezo imenipa tafsiri nyingi sana za kuumiza! kifupi ni kama bado tuko kwenye banda
Kumuua nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfamaji asubiri kukamatwa na kuhukumiwa kwa mauaji aliyoyaleta