John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Rais wa Ukraine, Volodymyr ZelenskyImage amewahamasisha wananchi wake kuwa tayari kupigana kwa taifa lao na kuwa atampatia silaha mtu yeyote anayetaka kushiriki katika vita dhidi ya Urusi.
Picha kadhaa zilionekana hivi karibuni mitandaoni zikionesha raia wa Ukraine wakipewa mafunzo ya msingi ya kijeshi wakati hali ya taharuki ilipopanda katika mzozo wake dhidi ya Urusi.
Wakati huohuo, Ukraine imekatiza rasmi uhusiano wake wa kidiplomasia na Urusi baada ya nchi hiyo kuvamia ardhi yake.
=======
Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy on Thursday called on all citizens who were ready to defend the country from Russian forces to come forward, saying Kyiv would issue weapons to everyone who wants them.
Russia launched an all-out invasion of Ukraine by land, air and sea on Thursday, the biggest attack by one state against another in Europe since World War Two and confirmation of the worst fears of the West.
Zelenskiy urged Russians to come out and protest against the war.
Source: Reuters
Picha kadhaa zilionekana hivi karibuni mitandaoni zikionesha raia wa Ukraine wakipewa mafunzo ya msingi ya kijeshi wakati hali ya taharuki ilipopanda katika mzozo wake dhidi ya Urusi.
Wakati huohuo, Ukraine imekatiza rasmi uhusiano wake wa kidiplomasia na Urusi baada ya nchi hiyo kuvamia ardhi yake.
=======
Ukrainian President Volodymyr Zelenskiy on Thursday called on all citizens who were ready to defend the country from Russian forces to come forward, saying Kyiv would issue weapons to everyone who wants them.
Russia launched an all-out invasion of Ukraine by land, air and sea on Thursday, the biggest attack by one state against another in Europe since World War Two and confirmation of the worst fears of the West.
Zelenskiy urged Russians to come out and protest against the war.
Source: Reuters