Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli, Urusi inamtama Rais Edogan kama mshirika wake wa karibu sana, uchaguzi unakuja tarehe 14 May 2023, Urusi inamtaka Edogan ailendelee kuingoza Uturuki huku West wakimtaka mpinzani wake Kemal Kılıçdaroğlu aje kurudisha uhusiano wa karibu kati Uturuki na West.Inadaiwa FSB wamempa sumu kali sana na huenda asipone ,ni baada ya kuruhusu nchi zilizo pakana na Russia kujiunga na NATO kumbuka Uturuki ndio alikuwa anashikilia wasipewe ,kuna tetesi waturuki wanaweza kutumia kupambana na Russia kana itabainika ni kweli, Russia kazi anayo
USSR
Nisaidie elimu wako vipi?Wewe huwajui waturuki
Hao waisrael ni wadogo Tu Kwa waturuki.waturuki wameshawahi kutawala mpaka dunia.Nisaidie elimu wako vipi?
Kwa hiyo ikawa je?CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
Hii update imejaa mashakaUpdate
Wameshamtengeneza sidhani kama atatoka na miguu yakeKwa hiyo ikawa je?
Kama ameonyesha kwenda kinyume na Wayahudi, pole yake.Wameshamtengeneza sidhani kama atatoka na miguu yake
Mbona sisi hatukuwaona huku kwetu labda ni dunia ya kuzimu hiyo ndio waliyo tawala.Hao waisrael ni wadogo Tu Kwa waturuki.waturuki wameshawahi kutawala mpaka dunia.
Wakati huo Tanzania haikuwepo na wewe hukuwepo.Kasome ottoman empire.Mbona sisi hatukuwaona huku kwetu labda ni dunia ya kuzimu hiyo ndio waliyo tawala.
Huyu sio muarabu,hawa waturuki,ni nusu wazungu na nusu ni waasia.Hawana uarabu,wana lugha yao na maandishi yao ya Kituruky,tofauti na kiarabu.Hata majina yao ni tofauti na ya kiaràbu.CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
Alichanja huyu,na alianguka ghafla,most likely itakuwa ni effect ya Chanjo.It is said he is suffering from Myocarditis,na Myocarditis ni side effect moja wapo ya C-19 Vaccines.Hali ya Rais wa nchi ya Uturuki Recep Tayyip Erdoğan amegua gafla na kukimbizwa Hospital baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa akijindaa kwenda kwenye mahojiano na kituo kimoja wapo cha Television nchini mwao.
Uturuki inatarajiwa kufanya uchaguzi May 14, 2023 ambapo Rais wa Uturuki Edogan anatarijia kugombea tena katika kinyang'anyiro hicho.
View attachment 2600870
Kwani wewe binafsi amekukosea Nini Erdogan wa uturuki.?Hao mossad c wamalize hiyo biashara mapema
Sahihduh angestaafu tu
Ishu hapa sio yeye ,kitengo waliomzungukaSahih
Uturuki inatarajiwa kufanya uchaguzi May 14, 2023 ambapo Rais wa Uturuki Edogan anatarijia kugombea tena katika kinyang'anyiro hicho.
Hajamzidi Putin mwenye ndoto za kuirudisha Ussr ya kale hata kimabavu.Huyu mzee ana itikadi kali za dini. Anaamini Ottoman Empire itaamka tena, ila hajui hiyo ni ndoto isiyowezekana kujirudia.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app