passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Leo akiwa kwenye kikao na Rais WA dunia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo akiwa kwenye kikao na Rais WA dunia.Hali ya Rais wa nchi ya Uturuki Recep Tayyip Erdoğan amegua gafla na kukimbizwa Hospital baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa akijindaa kwenda kwenye mahojiano na kituo kimoja wapo cha Television nchini mwao.
Uturuki inatarajiwa kufanya uchaguzi May 14, 2023 ambapo Rais wa Uturuki Edogan anatarijia kugombea tena katika kinyang'anyiro hicho.
View attachment 2600870
Wakati huo Tanzania haikuwepo na wewe hukuwepo.Kasome ottoman empire.
CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
Hao waisrael ni wadogo Tu Kwa waturuki.waturuki wameshawahi kutawala mpaka dunia.
duh angestaafu tu
Ottoman ilishindwa ata kuwatawala jirani zake, Ugiriki, Bulgaria, Ukraine na Armenia. Katika tawala za dunia zilizopita hakuna kinachoitwa Ottoman empire, ila ukienda Uturuki na Azam tv utasikia story hizo. Empire za dunia Babel na Waamedian, Uyunani(Greece), Roman(old Roman and new Roman).Wakati huo Tanzania haikuwepo na wewe hukuwepo.Kasome ottoman empire.
Hata wajerumani na waingereza walitutawala lakini Tanzania haikuwepo.Wakati huo Tanzania haikuwepo na wewe hukuwepo.Kasome ottoman empire.