Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, amepatwa na mshtuko wa moyo

Leo akiwa kwenye kikao na Rais WA dunia.
 

Problem is waarab wenyewe hawana umoja.
 
duh angestaafu tu

Afe kabisa. Kizee cha ovyo kina udikteta ,unafiki na uchu wa madaraka,hakina tofauti na museven wa Uganda.

Mara kiwe upande wa west mara kije upande wa Russia,akiwleweki kinataka nini.

Bumbav kabisa.
 
Wakati huo Tanzania haikuwepo na wewe hukuwepo.Kasome ottoman empire.
Ottoman ilishindwa ata kuwatawala jirani zake, Ugiriki, Bulgaria, Ukraine na Armenia. Katika tawala za dunia zilizopita hakuna kinachoitwa Ottoman empire, ila ukienda Uturuki na Azam tv utasikia story hizo. Empire za dunia Babel na Waamedian, Uyunani(Greece), Roman(old Roman and new Roman).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…