Rais wa vijana Tanzania: Spika Ndugai achunge ulimi wake

Ivi Covid 19 wanalipwa shs ngapi kwa mwezi??
 
Wewe unadhani uamuz wa kuwabakisha bungeni wale wanawake wa CHADEMA ulikuwa wake binafsi bila maagizo toka juu? Siku ikiagizwa watolewe Ndugai atawatoa mara moja.

Wale coviid 19 wanatumiwa kama leverage.
Kwa hiyo Bunge haliko huru?? KUNA MTU JUU YAKE ANAYELIONGOZA????
 
Samahani mkuu, nje ya mada, huyu anayejiita Rais wa vijana alichaguliwa kupitia uchaguzi gani wa vijana?
Upo Sawa mkuu, hata mimi ni kijana Ila sikuwahi kusikia huo uchaguzi ili nipige Kura!
 
Hii nchi ina MARAIS wengi 😂😂😂
 
Waongea taka taka!
 
Si tulikubaliana wale covid-19 ndo kambi pinzani, imekuwaje tena!?
 
Wewe unadhani uamuz wa kuwabakisha bungeni wale wanawake wa CHADEMA ulikuwa wake binafsi bila maagizo toka juu? Siku ikiagizwa watolewe Ndugai atawatoa mara moja.

Wale coviid 19 wanatumiwa kama leverage.
Basi ni ujinga, kama tunaamini kila muhimili unajitegemea kumbe mwingine unaagizwa cha kufanya na kinyume na taratibu nao unakubali, ni ujinga!
 
Ngoja Ndugai aanze kuwaita mmoja baada ya mwingine kwenye kamati ya maadili ndio mtatulia🐒
 
Ndugayembe hapati hata wa kumsemea? 😆😆
 
Wewe muosha viatu hata Mkeo tuu kakushinda kumuonya
 
unatupigia kelele
 
Kujibu kitu kidogo kwa maneno meengiii ni aina ya ushambega.Be specific,short-narrated and to the point!
 
Maelezo mengii kumbe hakuna ata unalolijua.unarukia rukia tu maneno.
 
Kujibu kitu kidogo kwa maneno meengiii ni aina ya ushambega.Be specific,short-narrated and to the point!
Kwahiyo kufa kipumbavu chama cha chadema ni kitu kidogo[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Maelezo mengii kumbe hakuna ata unalolijua.unarukia rukia tu maneno.
Mimi mwenyewe nilikuwa chadema wala sikumpigia kura magufuli 2015 isipokuwa 2020 nimempigia jpm, chadema kimekuwa chama cha majuwa baada ya wazee awalio kianzisha kufa na kubaki wahuni wasio na akili ,chadema kilikuwa chama miaka ya mkapa siyo sasa
 
Huyo "Rais wa vijana Tanzania" alichaguliwa na nani?

Afadhali Ndugai anatambulika ni Spika wa bunge la JMT, huyo mbuzi wenu anyamaze kimya, au aongee kama mtanzania wa kawaida, sio kujiweka title zisizo na chanzo.

Ndio hawa wanapewa dhamana baadaye kuongoza nchi. Uwezo wao ni kusimamia maslahi ya CCM, kutukana Watanzania wanaosimamia maslahi ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…