Rais wa vijana Tanzania: Spika Ndugai achunge ulimi wake

unamuonya anayemkemea Ndugai wewe km Nani
kwanini asiyasemee Bungeni, kuna mental ya kupata kila mgao na hapeleki Kongwa
sasa kawekwa pembeni acha achambwe na kunyang'anywa Kadi mpokeeni huko upinzani NCCR
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa nini achunge mdomo wake, Mtanzania mwenye kadi ya CCM haruhusiwi kujiunga wa kitaifa wa suala lolote nje ya chumba cha mikutano ya chama chenu ???
 
Story ndeeefu kumbe ujinga mtupu umekujaa
 
Pia hao vijana wanawakilisha vijana kwa mkataba na makubaliano yepi
Samahani mkuu, nje ya mada, huyu anayejiita Rais wa vijana alichaguliwa kupitia uchaguzi gani wa vijana?
 
Rais wa bodaboda , rais wa bao na rais wa wasafi nchi nzima ushawahi kusikia uchaguzi wao? Changamkia fursa ndugu yangu.
Rais wa karata, rais wa mzungu wa tatu, rais wa chabo, ..... urais siku hizi mpaka kwenye chibuku 😂😂😂
 
Rais wa bodaboda , rais wa bao na rais wa wasafi nchi nzima ushawahi kusikia uchaguzi wao? Changamkia fursa ndugu yangu.

Kuna magepu kibao ya urais yamebakia kajaze gepu mojawapo haraka sana
kama mimi ni raisi wa UWABATA
 
Kweli wewe ni ZUZU kweli. Unnecessary talking will reveal your ignorance. Kwa taarifa yako hakuna hoja ya maana uliyoibua zaidi ya kubwabwaja. pathetic.
 
Ikiisha hiyo kiki lazima ije nyingine mara paap 2025 hii hapa... siasa ni sayansi. Watu washasahau katiba mpya... na mzee wa lupango... haki itemdeke tu kupitia mahakama... kama ndiyo na iwe ndiyo kama siyo na iwe siyo... we are all equal before the law
Bado haujaifahamu CCM, hakuna vita hapo
 
Ww ni mjinga
 
Huyu rais wa vijana alichaguliwa na vijana gani?

Au vijana uzao wa Mafisadi Tanzania?

Tutafika mahali mtu akiitisha press na kuongea akitoka nje anakutana na viboko vikimsubiri.

Labda tutakomesha huu upuuzi mpya unaoibuka hasa hasa kupitia huu utitiri wa online TV's

Kuna upuuzi mwingi sana huko.
 
Mimi mwenyewe nilikuwa chadema wala sikumpigia kura magufuli 2015 isipokuwa 2020 nimempigia jpm, chadema kimekuwa chama cha majuwa baada ya wazee awalio kianzisha kufa na kubaki wahuni wasio na akili ,chadema kilikuwa chama miaka ya mkapa siyo sasa
Inaonekana wazi hujui unachokiandika, kichwani umejaa fungus.

Wakati wa Mkapa chama kikuu cha upinzani kilikuwa CUF.
 
Soma au sikiliza hotuba ya Tundu Lisu kuukaribisha mwaka 2022 ndio utajijuwa ubongo wako umejaa fungus.
 
[emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…