Rais wa vijana Tanzania: Spika Ndugai achunge ulimi wake

Rais wa bodaboda , rais wa bao na rais wa wasafi nchi nzima ushawahi kusikia uchaguzi wao? Changamkia fursa ndugu yangu.

Kuna magepu kibao ya urais yamebakia kajaze gepu mojawapo haraka sana
Kuna raisi wa vichaa pia gepu iko wazi asee
 
Unaota!
 
Mwaka 2022 uchaguzi ndani ccm.....Ndugai amelewa madaraka
 
Inaonekana wazi hujui unachokiandika, kichwani umejaa fungus.

Wakati wa Mkapa chama kikuu cha upinzani kilikuwa CUF.
Najua sana kuinuka chadema au chama chochote unaangalia miaka ya nyuma ni kama kupasi masomo ni matokeo ya bidii ya nyuma nguvu ya kukubalika chadema ilitokea kipindi ya mkapa kipindi cha kikwete ilikuwa ni matokeo bora ya nyuma
 
Watu waliomlilia na kumzika maelfu kwa maelfu kuliko maraisi wote ndiyo ushuhuda hata kubuma kwa chanjo ni kielelezo za kukubalika kwa magufuli
Nyooooo
 
Soma au sikiliza hotuba ya Tundu Lisu kuukaribisha mwaka 2022 ndio utajijuwa ubongo wako umejaa fungus.
Unajua hotuba wewe au unaropoka... katika nyuzi ambazo zimefunguliwa hapa jf, nambie kama hata kwa bahati mbaya umeisoma hiyo hutuba yake au gazeti lolote like kubwa la tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…