Pre GE2025 Rais wa Wanafunzi UDSM: Wanafunzi wa Vyuo tutamchagua Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asipogombea utachagua kitu gani?
 
Hadi leo boom halijaingia halafu unaongea nn sijui
Enzi zetu miaka ya mwanzoni 2000s huyu kepinduliwa zamani sana.
Ukiona mwanachuo anasoma miaka mitatu bila kugoma basi aidha haelewi au ana kariri anachofundishwa, Prof. Chachage S. Chachage, 2000s (RIp)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…