Rais wa Yanga achia ngazi

Rais wa Yanga achia ngazi

WAZO2010

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
1,615
Reaction score
3,784
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.

Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.

Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.

Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
 
Back
Top Bottom