Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Tayari mbili
Yaani Tulipolalamika mlituona wajinga sasa tuyanywe
Yaani Tulipolalamika mlituona wajinga sasa tuyanywe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hej yamekuwa hayo tena.Huyu Msomali si mlikuwa mnamuita genius. Kuweni wapole.Sijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Wewe si ulikuwa upo obsessed na Simba huku nyumba yenu inauungua.Huu ni mwanzo tu mpaka mseme.Tayari mbili
Yaani Tulipolalamika mlituona wajinga sasa tuyanywe
PoaWewe si ulikuwa upo obsessed na Simba huku nyumba yenu inauungua.Huu ni mwanzo tu mpaka mseme.
Hii mbona mapema sana jamani!Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
llSijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Ndugu yangu, mimi nililaani vikali nikawaambia huu upuuzi wa Hersi utatugharimu nikatukanwa sana.Tayari mbili
Yaani Tulipolalamika mlituona wajinga sasa tuyanywe
Tuliposema watu wakadai lazima mabadiliko yafanyikeNdugu yangu, mimi nililaani vikali nikawaambia huu upuuzi wa Hersi utatugharimu nikatukanwa sana.
Ligi ya mabingwa ndio kwaheri, na kombe la ligi hatutaweza kulitetea.
Hersi awajibike kwa hiliSijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Kwani hawa wengine walifanya nini?Unawaangushia jumba bovu bure Dube na Kibabage.Tuliposema watu wakadai lazima mabadiliko yafanyike
Sasa ilikuwa imebaki week tukutane na Al hilal halafu wanatuletea huyu kocha mpya
Ukiangalia hata wachezaji mpaka sasa bado hawajui vizuri hata majina na sub zake za kijinga sana anamuweka dube kufanyaje sasa?
Wakati ni wazi kibabage ndiyo alikuwa uchochoro?
Tukishika hata nafasi ya pili kwa kweli tukatambike! Sisi ndiyo tutakuwa jamvi la wageni kila mtu atajipigia, hatueleweki tunacheza nini na formation gani? Yaani hovyo hovyo
Huyu hersi naona katuzoea sana sasa,
Bora na wewe tusaidie mtani wetuMna uhakika yule ni kocha?
Kama hujaona mpira basi sawa nyamaza hapa hatuleti ubishani wa kijinga OK? Potea hapaKwani hawa wengine walifanya nini?Unawaangushia jumba bovu bure Dube na Kibabage.
Timu apewe Mzee MagomaNi muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Ohh mtarudi kwenye bakuli.Timu imeshauzwa kwa GSM. HAMNA ubavu wa kumtoa.Hersi awajibike kwa hili
Hatutaki kesi wala nini
Akae tu pemben
Full stop