Rais wa Yanga achia ngazi

Rais wa Yanga achia ngazi

Inaumiza sana, makelele ya akina @OMUGHAKA na wenzake, yaliwafanya viongozi wakurupuke kufukuza kocha bila kujali tupo wakati gani.
Mashabiki oya oya hao unadhani wanajua nini hao?

Mashindano haya yanahitaji kocha anayekijua kikosi chake vizuri sana na kimbinu awe vizuri sana Gamondi alithibitisha hilo! Wote tumeshuhudia

Ona huyu said sasa anaangalia tu afanyeje sasa na wachezaji hawajui vizuri
 
Hersi naanza kuamini wale waliokuwa wanasema alikuwa anatembelea nyota ya mshindo msola

Yaani mpaka sasa sielewi alitumia vigezo gani kumtimua Gamondi?

Huyu saidi kasema anahitaji week tatu au nne mpaka aisuke team!

Means ndani ya hizo weeks nne watu watakuwa wanajipigia sisi tu jumlisha na huku CAFCL..!

Tukubali kumtimua yule mzee tuliteleza, yeye alikuwa anatumia mabeki hawa hawa ambao leo wanaonekana uchochoro! Kwake walikuwa solid sana
Babuu..! Sindano zile ndio zilikufanya uone jamaa wanacheza Solid. Naamini uongozi ulichakata yote kabla ya kumtimua.
 
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au

Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze

Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Tutulie wajumbe mwalim apewe mda maana Rais hakujua athar za kufukuza kocha katkat ya msim
 
Nilikuwa naangalia rekodi za huyu kocha nikajiuliza mtu mwenye akili timamu anawezaje kumchagua kuja kuongoza club kubwa kama Yanga.

Kocha hana records za maana, pia ni kama ana gundu maana kila timu anayoingia performance ya hiyo timu inashuka.

Kocha wa viungo pia aliyekuja jana ni janga jingine. Mwaka huu Yanga tutakoma kmmk.
mkuu sio wote tunajua vifupisho hiyo kmmk kirefu chake ndio nin
 
Back
Top Bottom