Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UuuuwwwiiiiiiiiiiiiiNini tena imeuma?
Mamaaae,mtafukuza wote mwaka huu shenzi nyie,mlikuwa mna mdomo sana,,,ahahaha😫😫😫😫
Eng. Hersi Must Goooooo
Nimeumia sana 😭😭😭
Pole utazoea tu.Mpaka mechi na Mazembe iitakuwa imekuwa sugu.Utazoea.Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii
Inaumiza sana, makelele ya akina UMUGHAKA na wenzake, yaliwafanya viongozi wakurupuke kufukuza kocha bila kujali tupo wakati gani.Tayari mbili
Yaani Tulipolalamika mlituona wajinga sasa tuyanywe
Ina nini cha kuiga? Ulozi?Alikuwa katika kuiga Simba
Asante mkuuPole utazoea tu.Mpaka mechi na Mazembe iitakuwa imekuwa sugu.Utazoea.
Unacheka nini sasa? Au wewe ni Engineer?
Mashabiki oya oya hao unadhani wanajua nini hao?Inaumiza sana, makelele ya akina @OMUGHAKA na wenzake, yaliwafanya viongozi wakurupuke kufukuza kocha bila kujali tupo wakati gani.
Babuu..! Sindano zile ndio zilikufanya uone jamaa wanacheza Solid. Naamini uongozi ulichakata yote kabla ya kumtimua.Hersi naanza kuamini wale waliokuwa wanasema alikuwa anatembelea nyota ya mshindo msola
Yaani mpaka sasa sielewi alitumia vigezo gani kumtimua Gamondi?
Huyu saidi kasema anahitaji week tatu au nne mpaka aisuke team!
Means ndani ya hizo weeks nne watu watakuwa wanajipigia sisi tu jumlisha na huku CAFCL..!
Tukubali kumtimua yule mzee tuliteleza, yeye alikuwa anatumia mabeki hawa hawa ambao leo wanaonekana uchochoro! Kwake walikuwa solid sana
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze
Tutulie wajumbe mwalim apewe mda maana Rais hakujua athar za kufukuza kocha katkat ya msimNi muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Kongwa ni GSM, yeye Mpwapwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anawaza ubunge 2025 kongwa [emoji1787]
mkuu sio wote tunajua vifupisho hiyo kmmk kirefu chake ndio ninNilikuwa naangalia rekodi za huyu kocha nikajiuliza mtu mwenye akili timamu anawezaje kumchagua kuja kuongoza club kubwa kama Yanga.
Kocha hana records za maana, pia ni kama ana gundu maana kila timu anayoingia performance ya hiyo timu inashuka.
Kocha wa viungo pia aliyekuja jana ni janga jingine. Mwaka huu Yanga tutakoma kmmk.