Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
Mpaka msemeBado hatujasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka msemeBado hatujasema
Kanunue kamba ujinyonge.Mpira hautaki jazba.Mlipokuwa mnatamba ilikuwa sawa.Tulia dawa iwaingie.Kama hujaona mpira basi sawa nyamaza hapa hatuleti ubishani wa kijinga OK? Potea hapa
AlisemajeEminem alisema ukweli.
yan tunapewa mapacha mapacha tu yaani 2Mpaka mseme
Kwani imeingia naona umeisikia!yan tunapewa mapacha mapacha tu yaani 2
Hamna huo ubavu.Mtarudi kwenye bakuli.😫😫😫😫
Eng. Hersi Must Goooooo
Nimeumia sana 😭😭😭
had kutetemaKwani imeingia naona umeisikia!
Hersi naanza kuamini wale waliokuwa wanasema alikuwa anatembelea nyota ya mshindo msolaHersi awajibike kwa hili
Hatutaki kesi wala nini
Akae tu pemben
Full stop
PoaKanunue kamba ujinyonge.Mpira hautaki jazba.Mlipokuwa mnatamba ilikuwa sawa.Tulia dawa iwaingie.
Polehad kutetema
Duh umewahi kuwa hata ball boy?Haya ndiyo matokeo ya kupata ubingwa kwa mbinu za nje ya uwanja.
Hersi asingeweza kumthini gamondi kwani anajua ushindi aliupataje
Yanga mpate taaabuu sana,mna mdomo sana mbwa nyie(joking)Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
UuuuwwwiiiiiiiiiiiiiPole
Wenye akili ni wawili tu😂Alisemaje
Nini tena imeuma?Uuuuwwwiiiiiiiiiiiii