Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Na wakienda team zao za taifa pia wanapewa sindano?Babuu..! Sindano zile ndio zilikufanya uone jamaa wanacheza Solid. Naamini uongozi ulichakata yote kabla ya kumtimua.
Hebu fikiria sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wakienda team zao za taifa pia wanapewa sindano?Babuu..! Sindano zile ndio zilikufanya uone jamaa wanacheza Solid. Naamini uongozi ulichakata yote kabla ya kumtimua.
Ndio! Si alikuwa anafundisha Chalinze United!🤣🤣😭😭Mna uhakika yule ni kocha?
Watu walichukulia poa alichokua akifanya gamond bt kwa sasa majibu wameyapata.Mashabiki oya oya hao unadhani wanajua nini hao?
Mashindano haya yanahitaji kocha anayekijua kikosi chake vizuri sana na kimbinu awe vizuri sana Gamondi alithibitisha hilo! Wote tumeshuhudia
Ona huyu said sasa anaangalia tu afanyeje sasa na wachezaji hawajui vizuri
Nifah ulifanya kosa kubwa sana kuwa shabiki wa Uto😀😀Sijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Sindano fc..ni suala la muda tu mtaita maji nmaBado hatujasema
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukw
Wenzio waliyo ona saed wakadhan ni saidi, mwenzao katika imani ya myaazi.. Waka panic, waka kurupuka kumfukuza manuel/immanuel/gamondi...Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Simba haiigwi! Ukiiga tembo kunya utapasuka msamba! Sasa Utopolo wanapasuka msamba! Kwani walifikiri kuingia robo fainali NI Sawa na kuogelea pale bondeni kwao na supu za vibudu! Huku kuna wenyewe! Wakaige vingine!Alikuwa katika kuiga Simba
Kweli mkuu, maana mikoromo kila kona!Mods unganisheni nyuzi za hawa vyura
Ubaya ubwela Bado tupo kaziniBado hatujasema
Tulisha SEMA sana kosa la injinia ni kuwabeza na kuwaondoa walio msaidia kutwaa ubingwa na kuwakumbatia akina kamwe kuwa ndiyo wenye mipango ya kuiendeleza klabu na kuiingizia pesa nyingi,huwezi kuwaacha akina haji mfikilwa,manara eti umkumbatie akina priva na kamwe ambao wanaunda Hadi ubaguzi kwa wahamasishaji wengine ambao tangu yanga ya bakuli walikuwemo.Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Sema lengo lako ni kumtafutia ban mwenzakomkuu sio wote tunajua vifupisho hiyo kmmk kirefu chake ndio nin