Rais wa Yanga achia ngazi

Rais wa Yanga achia ngazi

Mashabiki oya oya hao unadhani wanajua nini hao?

Mashindano haya yanahitaji kocha anayekijua kikosi chake vizuri sana na kimbinu awe vizuri sana Gamondi alithibitisha hilo! Wote tumeshuhudia

Ona huyu said sasa anaangalia tu afanyeje sasa na wachezaji hawajui vizuri
Watu walichukulia poa alichokua akifanya gamond bt kwa sasa majibu wameyapata.

Side hamna kocha pale, alipaswa abaki huko huko.
 
Sijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?

Sawa basi, ukamleta kocha gani?

Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Nifah ulifanya kosa kubwa sana kuwa shabiki wa Uto😀😀
 
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukw

Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga. Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo. Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Wenzio waliyo ona saed wakadhan ni saidi, mwenzao katika imani ya myaazi.. Waka panic, waka kurupuka kumfukuza manuel/immanuel/gamondi...
 
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.

Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.

Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.

Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Tulisha SEMA sana kosa la injinia ni kuwabeza na kuwaondoa walio msaidia kutwaa ubingwa na kuwakumbatia akina kamwe kuwa ndiyo wenye mipango ya kuiendeleza klabu na kuiingizia pesa nyingi,huwezi kuwaacha akina haji mfikilwa,manara eti umkumbatie akina priva na kamwe ambao wanaunda Hadi ubaguzi kwa wahamasishaji wengine ambao tangu yanga ya bakuli walikuwemo.
 
Yanga ilitakiwa saa hizi mshazingira nyumba yake dadeq atoke awaachie timu yenu - pitisheni bakuli ka zamani msonge mbele laah mnashuka daraja kuku nyie.
 
Back
Top Bottom