Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga bingwaaaaa.Sijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Unasahau kuwa wachezaji wenu tayari wameshachujaNi muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Kweli kabisa, yaami mmepigwa na mtakuwa wa mwisho kwenye kundi. Ukijiuliza, je Gamondi alikuwa na shida gani? Jibu ni hapana,.. But endeleeni kupambana one day yes🤣🤣Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Haya ndiyo matokeo ya kupata ubingwa kwa mbinu za nje ya uwanja.
Hersi asingeweza kumthini gamondi kwani anajua ushindi aliupataje
Hata akija kuwajua baadhi yao ataomba kuachana nao maana umri umesogea.Ona huyu said sasa anaangalia tu afanyeje sasa na wachezaji hawajui vizuri
🤣🤣🤣Tumeyatimba
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.
Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.
Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.
Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Kwakwel tunawaonaUbaya ubwela Bado tupo kazini
Yanga atakua na point 7 km akijitajidiSijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
TAfuta movie moja inaitwa terminator 2 utamuona,yule ni ,bonge moja la actor huko hollywoodMna uhakika yule ni kocha?