Rais wa Yanga achia ngazi

Rais wa Yanga achia ngazi

Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.

Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.

Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.

Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Wakati anamleta ulikuwepo au ulimafahamu GAMONDI..?
 
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.

Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.

Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.

Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
We ndio umeongea kweli sasa.
Eng.Hers inabidi apite hivi.
 
Ni muda sahihi kwa Eng. Hersi kuachia ngazi hapo Yanga.

Kitendo chako cha kumfukuza Kocha Gamondi kama vile una fukuza mke wako bila kuiheshimu Club kubwa Yanga kuwa ni taasisi na kutuletea kocha la hovyo.

Lisilo na CV, wala Record yoyote sasa shida yake ndio hii. Kila mechi ni kufungwa tu.

Rais wajibika. Achia ngazi. Au mfukuze huyo Kocha wako wa mfukoni.
Wewe mbona ujaachia ngazi kwenye familia yako na ueleweki mambo yako? Unamwambia Engineer aachie ngazi kwa lipi aswaa? Kalete kocha wako basi wewe!
 
Kocha yuko sawa alichokosea ni kuwa timu ya pili uwanjani bila kuweka mabeki watatu wa kati.
 
Sijui Hersi alikula maharagwe ya wapi yuleee!
 
Wewe mbona ujaachia ngazi kwenye familia yako na ueleweki mambo yako? Unamwambia Engineer aachie ngazi kwa lipi aswaa? Kalete kocha wako basi wewe!
Taratibu hiyo mimba uta zaa tu.
 
Ndugu yangu, mimi nililaani vikali nikawaambia huu upuuzi wa Hersi utatugharimu nikatukanwa sana.

Ligi ya mabingwa ndio kwaheri, na kombe la ligi hatutaweza kulitetea.
Lakini nina kumbukumbu bibie alisema kama huu utopolo wa hers lazma mwaka huu tutage kweli watu mna macho ya 3 kimpira hongera niffa
 
Timu apewe Mzee Magoma
Wakati mwengine nimeanza kupata sense kwa nn simba ikiwa mbovu yanga wanaisema na cile vile kwa yanga hii ni kwamba tuache utani kama watanzania timu moja ikiwa tiamajitiamaji kimataifa uzito unampa timu nyengn kukusanya point mfano simba na utani wetu tunaomba japo yanga akafunge gemu zote lakn afike robo na ikumbukwe point za robo kwa yanga zina uzito mkubwa kuliko simba kufika nusu sasa leo hz timu mbl zisipofika robo tutakua tupo hatarini na nafasi zetu 4 kimataifa
 
Yanga atakua na point 7 km akijitajidi
1: vs mazenbe anachukua 4 point
2: vs mc-Alger Dsm.
3: timu ya Ibenge hawezi patakitu iletimu imekaa pamoja muda mrefu ,wachezaji na kocha wao
Yaani lile timu ibenge kama NGO yake mpk wachezaji wanamwona kama baba yao jaman cc hatuwez iga kama ibenge
 
Yatapitaaa vumiliaaa yanga itafungwa fungwa zootee.
Mechi za kimataifa zootee
Napointi watapata mojaaa.

Yatapitapitapiitaaa vumiliaa
Shabiki wa uto utaliaaa wewee
Magoli ukifungwaaa mengiii
Machozi yatatokaaa yoteee
..............

Na utanunuliwaaa vyoteee
Mawigiii na simu zoteee

Na supu mtakunywa yotee
 
Wakati mwengine nimeanza kupata sense kwa nn simba ikiwa mbovu yanga wanaisema na cile vile kwa yanga hii ni kwamba tuache utani kama watanzania timu moja ikiwa tiamajitiamaji kimataifa uzito unampa timu nyengn kukusanya point mfano simba na utani wetu tunaomba japo yanga akafunge gemu zote lakn afike robo na ikumbukwe point za robo kwa yanga zina uzito mkubwa kuliko simba kufika nusu sasa leo hz timu mbl zisipofika robo tutakua tupo hatarini na nafasi zetu 4 kimataifa
Imeamdikwa kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe
 
Back
Top Bottom