Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
waliingizwa kwenye mfumo na Ibenge baada ya kufika bongo alisema timu kubwa Yanga na kuisema simba ila baada ya game alikuwa anaisifia simbaKweli kabisa, yaami mmepigwa na mtakuwa wa mwisho kwenye kundi. Ukijiuliza, je Gamondi alikuwa na shida gani? Jibu ni hapana,.. But endeleeni kupambana one day yes🤣🤣