mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mkataba nini bana hata kama unasema hobyo ila unaangaliana hali halisi,je ukiimfukuza ndio uhakika wa kushinda mechi zinazofiata?Uliuona mkataba wa Gamondi na Yanga? Je kama kuna kipengele kama akifungwa 3 times in a row anafukuzwa?