🤣🤣🤣 ila ukwl usemwe yanga wameenda kutalii tuSijui Hersi alivuta bangi gani? Unafukuza kocha wiki moja kabla ya kuelekea mechi ngumu za ligi ya mabingwa?
Sawa basi, ukamleta kocha gani?
Hizi mechi niliwaambia hatutoshinda hata moja.
Nilijua ntakukuta hp bibie 🤣Bado mtasema Tu😂😂