Rais wa zamani na kiongozi wa chama cha upinzani ashinda kiti cha Urais Ghana

Rais wa zamani na kiongozi wa chama cha upinzani ashinda kiti cha Urais Ghana

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Katika tukio la kihistoria la uchaguzi mkuu wa Ghana, John Mahama, Rais wa zamani na kiongozi wa chama cha upinzani cha National Democratic Congress (NDC), amerejea madarakani baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika Jumamosi, Disemba 7, 2024.

Mahama aliibuka mshindi dhidi ya Makamu wa Rais, Mahamudu Bawumia, ambaye alikuwa akiwania urais kwa tiketi ya chama tawala cha New Patriotic Party (NPP).

Mahama, aliyewahi kuwa Rais kati ya mwaka 2012 na 2017, amepokea ushindi wake kwa shangwe huku mpinzani wake, Bawumia, akikubali matokeo kwa moyo wa amani na kumpongeza kwa ushindi.

==========================================================

Former president John Mahama, Ghana's main opposition leader, tried twice before to win back the country top post.

Now he has secured a huge comeback on his third attempt for the presidency after tapping into the country's economic frustrations to win Saturday's election.

His win marks a historic victory, making him the first president in the three decades of Ghana's Fourth Republic -- since the 1992 return to multi-party democracy -- to reclaim the presidency after being voted out.

Mahama.png


Mahama, of the National Democratic Congress (NDC) party, beat out Vice President Mahamudu Bawumia, who represented the ruling New Patriotic Party (NPP) and who conceded defeat on Sunday.

The economy became a major election issue after Ghana defaulted on its debt and entered into a $3 billion deal with the International Monetary Fund.

Mahama, 66, who served as president from 2012 to 2017, promised to "reset" Ghana, renegotiate parts of the IMF deal and introduce a "24-hour" economy to create jobs, a major concern for many younger voters.

Source: France 24
 
Wakuu,

Katika tukio la kihistoria la uchaguzi mkuu wa Ghana, John Mahama, Rais wa zamani na kiongozi wa chama cha upinzani cha National Democratic Congress (NDC), amerejea madarakani baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika Jumamosi, Disemba 7, 2024.

Mahama aliibuka mshindi dhidi ya Makamu wa Rais, Mahamudu Bawumia, ambaye alikuwa akiwania urais kwa tiketi ya chama tawala cha New Patriotic Party (NPP).

Mahama, aliyewahi kuwa Rais kati ya mwaka 2012 na 2017, amepokea ushindi wake kwa shangwe huku mpinzani wake, Bawumia, akikubali matokeo kwa moyo wa amani na kumpongeza kwa ushindi.

==========================================================

Former president John Mahama, Ghana's main opposition leader, tried twice before to win back the country top post.

Now he has secured a huge comeback on his third attempt for the presidency after tapping into the country's economic frustrations to win Saturday's election.

His win marks a historic victory, making him the first president in the three decades of Ghana's Fourth Republic -- since the 1992 return to multi-party democracy -- to reclaim the presidency after being voted out.

View attachment 3172171

Mahama, of the National Democratic Congress (NDC) party, beat out Vice President Mahamudu Bawumia, who represented the ruling New Patriotic Party (NPP) and who conceded defeat on Sunday.

The economy became a major election issue after Ghana defaulted on its debt and entered into a $3 billion deal with the International Monetary Fund.

Mahama, 66, who served as president from 2012 to 2017, promised to "reset" Ghana, renegotiate parts of the IMF deal and introduce a "24-hour" economy to create jobs, a major concern for many younger voters.

Source: France 24
Nice......hakuna mgombea aliyepigwa Mapanga huko? Au Wakala aliyepigwa risasi?
 
Kudos Wapinzani hawa akina Msigwa wa kwetu sijui wamelaaniwa na nani?! Hawana subira kabisa.
 
Sehemu nyingine watu wanang'ang'ania madaraka utadhani wamezaliwa nayo! Wapo tayari kuua watu lakini wapate madaraka tu.
 
Ghana wako mbali kidemokrasia! Kama sikosei Cha kwanza walichofanya ni kuandika Katiba upya!
Hata huku hakuna marefu yasiyokuwa na ncha!
 
Kudos Wapinzani hawa akina Msigwa wa kwetu sijui wamelaaniwa na nani?! Hawana subira kabisa.
Kuliko hawa moderators humus wanavyofungia watu kimya kimya au kuwa lock wasicjangie kitu wanapoona wamekerwa?
 
Back
Top Bottom