Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Tatizo wameweka matumbo yao mbele kuliko kuwa wapinzani wa kweli.Kudos Wapinzani hawa akina Msigwa wa kwetu sijui wamelaaniwa na nani?! Hawana subira kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wameweka matumbo yao mbele kuliko kuwa wapinzani wa kweli.Kudos Wapinzani hawa akina Msigwa wa kwetu sijui wamelaaniwa na nani?! Hawana subira kabisa.
Kwakweli Tundu Lissu akabidhiwe tu hatamu za Chama.Tatizo wameweka matumbo yao mbele kuliko kuwa wapinzani wa kweli.
Mzalendo uchwara. Cha kwanza ni maamuzi ya Raia kuheshimiwa. Haijalishi wanamchagua nani, walichoamua wananchi ndicho kiheshimiwe, hizo nyingine unazoleta hapa ni porojo zA kuhalalisha ujambazi wa ccm.Mkuu Davidson david Tanzania bado sana.Kwa mtizamo wangu hatuna opposition ambao tunaweza kuwaamini kufanya vizuri kuliko chama tawala kwa sasa. Ni hatari mtu kuruka majivu na kuishia kukanyaga mkaa wa moto.
Wamuombe JK upizani asimame jukwaa moja na Lisu ushindi itakuwa asbuhi mapemaa....kama makosa anayo ya kujisahihisha.Kwakweli wanakatisha tamaa.
JK akifanya hivyo itakuwa kama yule Raisi wa Ghana na Lissu atakuwa Waziri Mkuu.Wamuombe JK upizani asimame jukwaa moja na Lisu ushindi itakuwa asbuhi mapemaa....kama makosa anayo ya kujisahihisha.
Hata hao viongozi nao wabinafsi, wakipata nafasi huwaoni.Upinzani imeshindwa serikali Za mitaa wataweza uraisi? Wabongo ni mijoga na ubinafsi umewazidi pamoja na uroho wa mali
Wamuombe JK upizani asimame jukwaa moja na Lisu ushindi itakuwa asbuhi mapemaa....kama makosa anayo ya kujisahihisha.
Sio kweli na wala huna hoja. Watu wanapochoka na utawala wa hovyo kama huu wa ccm basi yeyote yule anayejitokeza kusimama kwenye uchaguzi kuwapinga hupigiwa kura bila kujali haiba yake hata awe zezeta bora tu hao waovu waondoke madarakani. That's all.Mkuu Davidson david Tanzania bado sana.Kwa mtizamo wangu hatuna opposition ambao tunaweza kuwaamini kufanya vizuri kuliko chama tawala kwa sasa. Ni hatari mtu kuruka majivu na kuishia kukanyaga mkaa wa moto.
Shida ni vyama vya upinzani vya TzKudos Wapinzani hawa akina Msigwa wa kwetu sijui wamelaaniwa na nani?! Hawana subira kabisa.