Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,428
- 6,929
Zuma 27number na anasebela vizuri tu, yani michairo yote anaijua, kwa hiyo jela yule hawezi kutubu yani atatandikiwa mpaka kitanda... maswali sitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi.Muda huo huo anatembea na ulinzi wake na chumba chake full AC chakula anakula anachotaka hahaha
Huyo sio rais mstaafu bali ni rais wa zamani.Raisi mstaafu aenda jela...
Tunataka katiba mpya ambayo italinda wananchi wote bila upendeleo na si ya viongozi kujiwekea kinga!Kimbe South Africa kinga hakuna kila kiongozi anapamba na hali yake
Katiba mpyaaBado mama Samaia. Muda wake unakuja, mwache aendelee kuikqnyaga katiba kwa kukataza mikutano ya siasa eti anajenga uchumi. Uchumi my foot!!