Messenger RNA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,411
- 3,712
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.
Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.
"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.
===================
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.
He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.
"There is no basis for me to think that this will be a different story.
"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."
He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."
Source: Sky News
Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.
"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.
===================
Former international court chief 'confident' Putin will stand trial
A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.
He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.
"There is no basis for me to think that this will be a different story.
"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."
He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."
Source: Sky News