Rais wa zamani wa ICC: Nina uhakika Putin atafika/kufikishwa mahakamani

Rais wa zamani wa ICC: Nina uhakika Putin atafika/kufikishwa mahakamani

Pole sana tena sio mwakani ila mwaka huu mwezi wa 8 ndiyo kuna uo mkutano South anahost! yani Albashir tu alikuwa na warrant na akaenda South akarudi kwao kama kawaida sembuse Vladimir?
subir uone
 

NChi yake ikipitisha sheria kuwa nchi itakayomkamata Rais wake kwa ajili ya kumleleka ICC itakuwa ni kitendo cha kivita au tangazo la kivita na litajibiwa haraka sana,je ni nchi gani itaweza kumkamata Putin? Taja angalau tatu.
Mkuu mapinduzi yanaweza kutokea russia putin akaekwa chini ya ulinzi, warusi wengi hawafurahishwi na putin angalia maandamano yalivyokuwa kumpinga kuishambulia Ukraine na zaid ya watu 1000 kawaseka ndani, putin anaweza kukamatwa hata na ruwanda achilia mbali hayo mataifa makubwa, warusi wanataka nchi yao waishi kwa amani waondokane na udikteta uliokubuhu wa putin
 
Ni muda mrefu sana marais wa nchi kama Russia na China wameacha kabisa kuja NY kuhutubia UNGA.

Sisi Africans ndio tunaenda kwa sababu za Per Diem na kwenda kuomba omba misaada.
Na kushangaa shangaa Majengo, ma x pozhya , shopping shopping si unajua mwenyewe
 
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.

Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.

"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.

===================

Former international court chief 'confident' Putin will stand trial​

A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.

He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.

"There is no basis for me to think that this will be a different story.

"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."

He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."

Source: Sky News
Anailinganisha urusi na rwanda sijui liberia
 
Wameshamfungia ndani ya pipa hana uwezo wa kutembea kwa uhuru duniani tena, ataenda Iran, China, N. Korea, nk. Ameshafungwa miguu tayari.
Aende huko kwingine kutembea ili agundue kitu gani ambacho hana pale Russia?
 
Back
Top Bottom