Rais wa zamani wa ICC: Nina uhakika Putin atafika/kufikishwa mahakamani

Rais wa zamani wa ICC: Nina uhakika Putin atafika/kufikishwa mahakamani

Umetaja nchi gani waliofikishwa mahakama hiyo? Sasa tumia akili zote. Hicho sio cha kufugia nywele tu.
Bush alifikishwa? Je Obama. Hiyo kazi yake ni kukandamiza nchi maskini.
Nashangaa hatujitoi humo
 
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.

Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.

"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.

===================

Former international court chief 'confident' Putin will stand trial​

A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.

He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.

"There is no basis for me to think that this will be a different story.

"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."

He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."

Source: Sky News
Sio osuji ila Ushuzi,, karopoka Ushuzi mtupu,,
 
Putin atue NY ku-address UNGA and other global and regional summits zinazomhusu aache kutuma foreign minister kama mbabe kweli!

Atadakwa kama kuku mwenye kideri vinginevyo aendelee kujichimbia chumbani kama mwali huku wababe wa dunia wakipasua anga end to end!
Mwambieni na Babu Baideni aende moskow au St Petersburg,, Tuone habari yake,,
 
Teh Bashir wa sudan tu hapo mlimshindwa sembuse Putin jamaa akaenda hapo Uganda Museveni akawaambia hao icc waache ushoga bashir hakamatwi na hamna la kumfanya.......... Mrusi kaandaa mkutano mkubwa na nchi za Africa, mashariki ya kati mchina kawavuta waarabu..... Tunapoelekea hata UN itakosa nguvu watu wanakutana wanaoelewana wanakubaliana na maisha yanaenda
Naongelea mataifa yenye nguvu zaidi duniani Europe sio ushirikiano na nchi maskini hawatavuna chochote, Putin anaweza pelekwa ICC ni wenyewe russia, amri ya mahakama ni hatua moja na kukamatwa ni hatua nyengine, vuta subira tuone itakuwaje
 
Anajitekenya na kucheka...
Wanajeshi tu wa marekani waliwashindwa kuwafikisha baada ya kutishiwa kuwekewa vikwazo na wakapiga kimya na mafaili nadhani walishayachoma ije kuwa Putin...
Hii mahakama haina meno inaweza tu kudeal na viongozi wa Afrika huko kwingine inapiga kelele tu kwa sasa
upeo wako mdg kumiliki smart isikufany kujiona level moja na ICC
 
Putin atue NY ku-address UNGA and other global and regional summits zinazomhusu aache kutuma foreign minister kama mbabe kweli!

Atadakwa kama kuku mwenye kideri vinginevyo aendelee kujichimbia chumbani kama mwali huku wababe wa dunia wakipasua anga end to end!
Marekan hawakukamati kwasabab za kidiplomasia , ila atakamatwa nchin kwake au aKienda nchi nyngne lkn sio USA
 
Sababu ile ile iliyofanya kuundwa kwa NATO ndiyo hiyo hiyo itakuwa kizuizi au njia ya kumkamata putin. Sababu yenyewe ni RUSSIA.

Huwezi sema unamshtaki mtu ambaye nchi inayomlinda kuingia nayo vita vya moja kwa moja haijawezekana. Nani atamkamata sasa? Unless nchi yake imtelekeze, kumkamata kutabaki kuwa kwenye makaratasi.
Kaingiza Urusi vitan bila ridhaa ya bunge unasemaj Russia wapo pamoja na Putin ?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
whether ni mwanachama au sio warrant imetoka sasa ni juu ya majemedari wema wa urusi kumkabidhi huyu mtu ICC ili wajenge nchi yao na uchumi wao urudi, na udikteta uwe ndio mwisho katika utawala wa russia.
Unangelea kwenye shit hole lako au mdomoni?
 
Angalia Kwanza mifano aliyotoa. Ukimaliza sema huyu mtu ni mjinga. Tatizo watu wengi humu hata hawajui hiyo ICC inafanyaje kazi. Niambie Inchi ngapi duniani zinaweza kumkamata Rais wa Urusi!
haya mambo ni makubwa akili yako bdo ya kuyaelewa , una pupa nyng unataka kauli itoke leo mtu akamatwe kesho , sio hivyo kwa wazungu
 
Sababu ile ile iliyofanya kuundwa kwa NATO ndiyo hiyo hiyo itakuwa kizuizi au njia ya kumkamata putin. Sababu yenyewe ni RUSSIA.

Huwezi sema unamshtaki mtu ambaye nchi inayomlinda kuingia nayo vita vya moja kwa moja haijawezekana. Nani atamkamata sasa? Unless nchi yake imtelekeze, kumkamata kutabaki kuwa kwenye makaratasi.
Sababu ile ile iliyofanya kuundwa kwa NATO ndiyo hiyo hiyo itakuwa kizuizi au njia ya kumkamata putin. Sababu yenyewe ni RUSSIA.

Huwezi sema unamshtaki mtu ambaye nchi inayomlinda kuingia nayo vita vya moja kwa moja haijawezekana. Nani atamkamata sasa? Unless nchi yake imtelekeze, kumkamata kutabaki kuwa kwenye makaratasi.
Upo sahihi kabisa, kumkamata Rais Putin hata akiwa ziarani nje ya Urusi sio rahisi hata kidogo na ngumu kutekeleza...

...hii hati labda itamzuia Putin kusafiri kwenda baadhi ya nchi tu (sio zote) ila sio kutosafiri kabisa kwa hofu ya kukamatwa.
 
Mimi sizani kama jamaa atafanya Kama mmarekani anavodhani kwa sababu Putin anajiamin na isitoshe ICC Mara nyingi inawakabiri sana viongozi wa afrika mf Uhuru Kenyatta mwaka 2013
 
Mashoga mmekuja na habari za kujifurahisha baada ya kuona uwanja wa vita umekuwa mchungu sana kwenu. Mtakaowapata ni wapumbavu tu, welevu wanaishia kucheka tu na kupuuza
masaa 72 had mwaka kwel hali ngumu kwa mashoga zako
 
Back
Top Bottom