Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Russia is not signatory to the Rome Statute.Hivi Urusi ni mwanachama wa hii mahakama tofauti na Marekani ambayo hawaiitambui hii mahakama?
Muda utaamua ndg.Kwa maana Putin wamuingizie mamluki labda. Which is a very tough task.
I believe Putin atakuwepo na ataendelea kuwepo. Nobody can stop reggae 😀😀😀Muda utaamua ndg.
Sio osuji ila Ushuzi,, karopoka Ushuzi mtupu,,Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.
Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.
"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.
===================
Former international court chief 'confident' Putin will stand trial
A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.
He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.
"There is no basis for me to think that this will be a different story.
"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."
He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."
Source: Sky News
Mwambieni na Babu Baideni aende moskow au St Petersburg,, Tuone habari yake,,Putin atue NY ku-address UNGA and other global and regional summits zinazomhusu aache kutuma foreign minister kama mbabe kweli!
Atadakwa kama kuku mwenye kideri vinginevyo aendelee kujichimbia chumbani kama mwali huku wababe wa dunia wakipasua anga end to end!
Naongelea mataifa yenye nguvu zaidi duniani Europe sio ushirikiano na nchi maskini hawatavuna chochote, Putin anaweza pelekwa ICC ni wenyewe russia, amri ya mahakama ni hatua moja na kukamatwa ni hatua nyengine, vuta subira tuone itakuwajeTeh Bashir wa sudan tu hapo mlimshindwa sembuse Putin jamaa akaenda hapo Uganda Museveni akawaambia hao icc waache ushoga bashir hakamatwi na hamna la kumfanya.......... Mrusi kaandaa mkutano mkubwa na nchi za Africa, mashariki ya kati mchina kawavuta waarabu..... Tunapoelekea hata UN itakosa nguvu watu wanakutana wanaoelewana wanakubaliana na maisha yanaenda
upeo wako mdg kumiliki smart isikufany kujiona level moja na ICCAnajitekenya na kucheka...
Wanajeshi tu wa marekani waliwashindwa kuwafikisha baada ya kutishiwa kuwekewa vikwazo na wakapiga kimya na mafaili nadhani walishayachoma ije kuwa Putin...
Hii mahakama haina meno inaweza tu kudeal na viongozi wa Afrika huko kwingine inapiga kelele tu kwa sasa
Marekan hawakukamati kwasabab za kidiplomasia , ila atakamatwa nchin kwake au aKienda nchi nyngne lkn sio USAPutin atue NY ku-address UNGA and other global and regional summits zinazomhusu aache kutuma foreign minister kama mbabe kweli!
Atadakwa kama kuku mwenye kideri vinginevyo aendelee kujichimbia chumbani kama mwali huku wababe wa dunia wakipasua anga end to end!
Kaingiza Urusi vitan bila ridhaa ya bunge unasemaj Russia wapo pamoja na Putin ?Sababu ile ile iliyofanya kuundwa kwa NATO ndiyo hiyo hiyo itakuwa kizuizi au njia ya kumkamata putin. Sababu yenyewe ni RUSSIA.
Huwezi sema unamshtaki mtu ambaye nchi inayomlinda kuingia nayo vita vya moja kwa moja haijawezekana. Nani atamkamata sasa? Unless nchi yake imtelekeze, kumkamata kutabaki kuwa kwenye makaratasi.
mara zote ipo hivyoKwa sasa ndiyo assumption inayowezekana mkuu. Haipo nyingine.
Sio mwanachama...Hivi Urusi ni mwanachama wa hii mahakama tofauti na Marekani ambayo hawaiitambui hii mahakama?
warant inatokaj bila kufungua kesi ?Watoe warrant ya kumkamata Bush na Sacozy kwanza ndio wamkamate na Putin.
Unangelea kwenye shit hole lako au mdomoni?whether ni mwanachama au sio warrant imetoka sasa ni juu ya majemedari wema wa urusi kumkabidhi huyu mtu ICC ili wajenge nchi yao na uchumi wao urudi, na udikteta uwe ndio mwisho katika utawala wa russia.
Labda ya kwenye makalio yake mkuu. Msamehe tuUSSR ipi!?
haya mambo ni makubwa akili yako bdo ya kuyaelewa , una pupa nyng unataka kauli itoke leo mtu akamatwe kesho , sio hivyo kwa wazunguAngalia Kwanza mifano aliyotoa. Ukimaliza sema huyu mtu ni mjinga. Tatizo watu wengi humu hata hawajui hiyo ICC inafanyaje kazi. Niambie Inchi ngapi duniani zinaweza kumkamata Rais wa Urusi!
Sababu ile ile iliyofanya kuundwa kwa NATO ndiyo hiyo hiyo itakuwa kizuizi au njia ya kumkamata putin. Sababu yenyewe ni RUSSIA.
Huwezi sema unamshtaki mtu ambaye nchi inayomlinda kuingia nayo vita vya moja kwa moja haijawezekana. Nani atamkamata sasa? Unless nchi yake imtelekeze, kumkamata kutabaki kuwa kwenye makaratasi.
Upo sahihi kabisa, kumkamata Rais Putin hata akiwa ziarani nje ya Urusi sio rahisi hata kidogo na ngumu kutekeleza...Sababu ile ile iliyofanya kuundwa kwa NATO ndiyo hiyo hiyo itakuwa kizuizi au njia ya kumkamata putin. Sababu yenyewe ni RUSSIA.
Huwezi sema unamshtaki mtu ambaye nchi inayomlinda kuingia nayo vita vya moja kwa moja haijawezekana. Nani atamkamata sasa? Unless nchi yake imtelekeze, kumkamata kutabaki kuwa kwenye makaratasi.
wawakamate bila mashtaka kafungue mashtaka halaf ndo udai wakamatweWaanze kumkamata obama, bush, tonny blair bila kumsahau yule rais wa ufaransa aliyepita.
masaa 72 had mwaka kwel hali ngumu kwa mashoga zakoMashoga mmekuja na habari za kujifurahisha baada ya kuona uwanja wa vita umekuwa mchungu sana kwenu. Mtakaowapata ni wapumbavu tu, welevu wanaishia kucheka tu na kupuuza