Rais wa zamani wa ICC: Nina uhakika Putin atafika/kufikishwa mahakamani

Rais wa zamani wa ICC: Nina uhakika Putin atafika/kufikishwa mahakamani

Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.

Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.

"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.

===================

Former international court chief 'confident' Putin will stand trial​

A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.

He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.

"There is no basis for me to think that this will be a different story.

"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."

He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."

Source: Sky News
Angalia Kwanza mifano aliyotoa. Ukimaliza sema huyu mtu ni mjinga. Tatizo watu wengi humu hata hawajui hiyo ICC inafanyaje kazi. Niambie Inchi ngapi duniani zinaweza kumkamata Rais wa Urusi!
 
Putin atue NY ku-address UNGA and other global and regional summits zinazomhusu aache kutuma foreign minister kama mbabe kweli!

Atadakwa kama kuku mwenye kideri vinginevyo aendelee kujichimbia chumbani kama mwali huku wababe wa dunia wakipasua anga end to end!
Amiri jeshi mkuu akapige siasa wakati uko vitani?

Crap
 
Angalia Kwanza mifano aliyotoa. Ukimaliza sema huyu mtu ni mjinga. Tatizo watu wengi humu hata hawajui hiyo ICC inafanyaje kazi. Niambie Inchi ngapi duniani zinaweza kumkamata Rais wa Urusi!
Mkuu tuache muda uongee,lakini kwasasa Putin ni mhalifu anayetafutwa na ICC,ni suala tu muda lazima afikishwe the Hague.
 
Putin atue NY ku-address UNGA and other global and regional summits zinazomhusu aache kutuma foreign minister kama mbabe kweli!

Atadakwa kama kuku mwenye kideri vinginevyo aendelee kujichimbia chumbani kama mwali huku wababe wa dunia wakipasua anga end to end!
Hata yeye anapasua anga kule Ukraine kwa makombora mazito ya hypersonic.
 
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.

Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.

"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.

===================

Former international court chief 'confident' Putin will stand trial​

A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.

He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.

"There is no basis for me to think that this will be a different story.

"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."

He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."

Source: Sky News
Waanze kumkamata obama, bush, tonny blair bila kumsahau yule rais wa ufaransa aliyepita.
 
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.

Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.

"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.

===================

Former international court chief 'confident' Putin will stand trial​

A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.

He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.

"There is no basis for me to think that this will be a different story.

"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."

He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."

Source: Sky News
Mashoga mmekuja na habari za kujifurahisha baada ya kuona uwanja wa vita umekuwa mchungu sana kwenu. Mtakaowapata ni wapumbavu tu, welevu wanaishia kucheka tu na kupuuza
 
Rais wa zamani wa mahakama ya kimataifa ya ICC amesema anao uhakika kabisa kuwa Rais wa Urusi Vladimir Putin atafikishwa mahakamani kujibu mashtaka yanayomkabili.

Dr Chile Eboe-Osuji ameongeza kuwa katika miaka ambayo hati hizo za kukamatwa zimekuwa zikitolewa wote wamejikuta mwisho wa siku wanaletwa mahakamani kujibu mashtaka huku akitolea mfano maraisi wa zamani wa Rwanda,Serbia na Liberia.

"Hii haiwezi kuwa hadithi tofauti kwa Putin,kama sio sasa,baadae lazima afike kwa hukumu"ameongeza.

===================

Former international court chief 'confident' Putin will stand trial​

A former president of the International Criminal Court said he is confident Vladimir Putin will be brought to trial.
Dr Chile Eboe-Osuji said in every modern instance when an arrest warrant has been issued, somebody ended up in court.

He pointed to former leaders of Rwanda, Serbia and Liberia who had been served warrants.

"There is no basis for me to think that this will be a different story.

"Yes this will be the most important man to date that an arrest warrant has been served against, but lets see what happens."

He added: "I am confident that sooner or later this [a trial] will happen."

Source: Sky News
Hata mimi ninaamini ATAFIKA TU TENA HAITACHUKUA MUDA!
Naona kina shoigu wanaitaka hiyo nafasi kwa gharama yeyote!
 
Hivi Urusi ni mwanachama wa hii mahakama tofauti na Marekani ambayo hawaiitambui hii mahakama?
ICC inashughulika na mhalifu individuallly sio nchi

Nchi iwe mwanachama au la wao humtaka mhalifu wao afikishwe the Hague

Sababu kule haishitakiwi nchi ni mhalifu individual

Putin anatakiwa kama individual sio Russia inatakiwa The Hague
 
Back
Top Bottom