Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amshukuru Rais Samia Suluhu na IMF

Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amshukuru Rais Samia Suluhu na IMF

Haya mambo yenu ya kijinga ndio yanadogosha muungano mkuu

Ujinga mzigo.

Fikiria idadi ya watu Tanzania bara 59 million.Zanzibar watu 1.5 ukimaliza tazama ukubwa wa eneo halafu angalia huo mgao wa Zanzibar kama ni haki.

Hizo hela za mkopo zitalipwa na Serekali ya Muungano ambayo kihalisia ni Tanzania bara.

Kati mambo ya hovyo ambayo Mwl Nyerere alituachia ni huu muungano ambao sijawahi kuona faida zake zaidi ya Zanzibar kubebwa bebwa.

Lipo suala la ajira kwa taasisi zote za muungano,Zanzibar wamepewa 21% huku Tanzania bara ikipewa 79%.Chukua idadi ya watu Zanzibar 1.5 million na bara 59 million.Utaona baada ya miaka 5 ukosefu wa ajira Zanzibar utamalizika ikiwa huu ujinga utaachwa uendelee.Baada ya miaka mitano taasisi kama TRA,BOT,JWTZ,JKT,POLISI,Uhamiaji,Wizaramambo ya ndani,ulinzi,Uchukuzi...... kila ukikuta wafanyakazi 100 wafanyakazi au watumishi 21 watakuwa waZanzibar.

Kama mpaka hapo huoni tatizo,hakikisha wakati unavuka barabara unasindikizwa na mtu mzima na timamu.
 
Ujinga mzigo.

Fikiria idadi ya watu Tanzania bara 59 million.Zanzibar watu 1.5 ukimaliza tazama ukubwa wa eneo halafu angalia huo mgao wa Zanzibar kama ni haki.

Hizo hela za mkopo zitalipwa na Serekali ya Muungano ambayo kihalisia ni Tanzania bara.

Kati mambo ya hovyo ambayo Mwl Nyerere alituachia ni huu muungano ambao sijawahi kuona faida zake zaidi ya Zanzibar kubebwa bebwa.

Lipo suala la ajira kwa taasisi zote za muungano,Zanzibar wamepewa 21% huku Tanzania bara ikipewa 79%.Chukua idadi ya watu Zanzibar 1.5 million na bara 59 million.Utaona baada ya miaka 5 ukosefu wa ajira Zanzibar utamalizika ikiwa huu ujinga utaachwa uendelee.Baada ya miaka mitano taasisi kama TRA,BOT,JWTZ,JKT,POLISI,Uhamiaji,Wizaramambo ya ndani,ulinzi,Uchukuzi...... kila ukikuta wafanyakazi 100 wafanyakazi au watumishi 21 watakuwa waZanzibar.

Kama mpaka hapo huoni tatizo,hakikisha wakati unavuka barabara unasindikizwa na mtu mzima na timamu.
Huu ni Uchochezi,
 
Huu ni Uchochezi,

Unafikiri hizi ni zile vibandiko vyako vya Rais katoa bilion 70 Singida, mara katoa billion 258 ujenzi wa Barabara Mkomazi zitasaidia kuacha tusifikiri.

Wewe endelea na huo ujinga wako wa kuanzisha mabandiko matano kwa siku ya kusifu ujinga.Tunachojua hizo ni kodi zetu na mikopo ambayo Sisi na vizazi vyetu tutawajibika kuilipa.
 
Unafikiri hizi ni zile vibandiko vyako vya Rais katoa bilion 70 Singida, mara katoa billion 258 ujenzi wa Barabara Mkomazi zitasaidia kuacha tusifikiri.

Wewe endelea na huo ujinga wako wa kuanzisha mabandiko matano kwa siku ya kusifu ujinga.Tunachojua hizo ni kodi zetu na mikopo ambayo Sisi na vizazi vyetu tutawajibika kuilipa.
ENDELEZA UCHOCHEZI ILA HUTAWEZA
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Kaziiendelee Tanzania na Samia, Tunakwenda vizuri sana
 
Na unapoizungumzia Tanzania tunaiweka kama Mvamizi, kuna siku na haipo mbali lazima mvamizi atakurupushwa.Wazenji hawapumui

Ila sababu kuu ,na mshukuru sana huu Muungano ,maana siku ukivurugika na kukatikia pabovu ,ndio mwanzo wa Tanganyika kugawika mapande mapande Kaskazini kwao ,Kusini kwao aafu zile kilometa kumi zote zinajiunga na Zanzibar,wabara mrudie kula perege maana samaki wa maji chunvi pweza ngisi chaza,kombe vibuwa dagaa ,itakuwa mnaletewa kama zawadi.
Kmkm ina UWEZO wa kufurusha Jwtz?!!!
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
Na Kila pesa inayokopwa kwa kisingizio Cha stiggler au reli ya kisasa, 18% inakwenda Zanzibar, hongera sana
 
Unafikiri hizi ni zile vibandiko vyako vya Rais katoa bilion 70 Singida, mara katoa billion 258 ujenzi wa Barabara Mkomazi zitasaidia kuacha tusifikiri.

Wewe endelea na huo ujinga wako wa kuanzisha mabandiko matano kwa siku ya kusifu ujinga.Tunachojua hizo ni kodi zetu na mikopo ambayo Sisi na vizazi vyetu tutawajibika kuilipa.
Mkuu umepiga kisu kwenye mfupa,jamaa ameshindwa ajibu nini Yuko anatapa tapa tu!
Zile kero za Muungano Samia anazojisifu kuzitatua ni kwamba Zanzibar wamelamba dume!
Mbaya zaidi kero hizo haziwekwi hadharani na namna zilivyotatuliwa!
 
Na unapoizungumzia Tanzania tunaiweka kama Mvamizi, kuna siku na haipo mbali lazima mvamizi atakurupushwa.Wazenji hawapumui

Ila sababu kuu ,na mshukuru sana huu Muungano ,maana siku ukivurugika na kukatikia pabovu ,ndio mwanzo wa Tanganyika kugawika mapande mapande Kaskazini kwao ,Kusini kwao aafu zile kilometa kumi zote zinajiunga na Zanzibar,wabara mrudie kula perege maana samaki wa maji chunvi pweza ngisi chaza,kombe vibuwa dagaa ,itakuwa mnaletewa kama zawadi.
acheni visingizio, pesa mnazitaka,na muungano hamuutaki.kukopa tukope ss,pesa tuwape,kwenye kulipa mnajikausha na kusema muungano haufai!! nyie viumbe vipi!!?? Mkumbukage kulipa hii mikopo ,hata ss huku bara tunamajukumu pia,na Kama maisha magumu ni magumu kwa wote,ss nyny tu wa zbar!!
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Back
Top Bottom