Rais wa Zanzibar tafuta washauri wazuri suala la ardhi ya Bagamoyo

Rais wa Zanzibar tafuta washauri wazuri suala la ardhi ya Bagamoyo

Ardhi hiyo bado ni mali halali ya Serikali ya Zanzibar, Azam watafute namna ya kusuluhisha huo mgogoro. Mwendazake alikurupuka. Unless kuna formal instrument iliyo revoke ownership ya SMZ. Still revocation inafanywa kwa public interest. Sasa tuhoji, is it a public interest kuinyang'anya ardhi SMZ na kumpa AZAM?
Yaani ardhi yetu ni mali ya Zanzibar? acheni ujinga bhana
 
Taasisi ya SMZ na ile ya JMT zinaongozwa na marais kumbuka hilo ambao wanaongozwa na katiba za nchi. Katiba ya JMT inampa rais umiliki wa ardhi yote anaweza kumnyang'anya mtu au taasisi na kumpa mwingine kwa tamko lake tu.

Ukielewa mamlaka ya kiongozi wa taasisi ya JMT utaelewa maana ya cession.
Alipewa kihalali kabisa
 
Hii ni vita ya kibiashara hasa unapogusa sekta ya sukari kwa maana ya nchi kujitosheleza kwa sukari na kuacha kuagiza nje ya nchi...kama serikqli isipokuwa makini suala la kuondoa utegemezi wa sukari ya nje itakuwa ndoto tu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu una very strange way of thinking. I rest my case.
Walipewa na rais ( Hisani) wafanye uewekezaji ( Ranchi). Uwekezaji huo haufanyiki tena.
Anakuja rais Mwingine anampa mwekezaji mwingine ( anayetaka kuwekeza).
Muwekezaji wa mwanzo ( SMZ) anadai eneo ambalo halitumii kwa sasa. Same mamlaka iliyowapa ( Raisi ) ndio hiyo hiyo imebatilisha.

Sasa hapo kati yenu nani ana "strange way of thinking".........
 
Ardhi hiyo bado ni mali halali ya Serikali ya Zanzibar, Azam watafute namna ya kusuluhisha huo mgogoro. Mwendazake alikurupuka. Unless kuna formal instrument iliyo revoke ownership ya SMZ. Still revocation inafanywa kwa public interest. Sasa tuhoji, is it a public interest kuinyang'anya ardhi SMZ na kumpa AZAM?
Jibu ndiyo
 
Taasisi ya SMZ na ile ya JMT zinaongozwa na marais kumbuka hilo ambao wanaongozwa na katiba za nchi. Katiba ya JMT inampa rais umiliki wa ardhi yote anaweza kumnyang'anya mtu au taasisi na kumpa mwingine kwa tamko lake tu.

Ukielewa mamlaka ya kiongozi wa taasisi ya JMT utaelewa maana ya cession.
Na hata kutoliendeleza eneo tangu 1977 rais anayo mamlaka ya kubatilisha matumizi ya hilo eneo. Kuna kipindi fulani Lukuvi alifanya operesheni ya kufuta umiliki wa baadhi ya meneo ambayo yalikuwa hayajaendelezwa kwa muda mrefu ili kugawia wananchi maeneo kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.

Haingii akilini Zanzibar iendelee kumiliki pori huku Tanganyika wakati idadi ya watanganyika inaongeza na wana mahitaji makubwa ya ardhi, huyo mwinyi aache ubabe usio na msingi kisa rais ni mzanzibari.​
 
"In early 1970s, this piece land of Tanzania Mainland was ceded to Tanzania Isles, meaning Tanzania Mainland gave up of legal ownership, and surrender its power of being counted as part of its territory.

Kutokana na mazingira yaliyokuwepo wakati huo "cession" ilifanyika kupitia tamko la Rais, kama vile ilivyotokea kwa ridhaa ya suala la muungano kwa upande wa Zanzibar. Tamko la Rais Nyerere lilitumika kuhalalisha umiliki wa pande hili la ardhi huko Bagamoyo kwa Zanzibar. Tamko la Nyerere halikuwa la makabidhiano ya muda katika matumizi ya ardhi hii, bali ilikuwa ni kubadili umiliki kisheria kutoka Tanzania Bara kwenda Tanzania Visiwani.
 
Eneo alilopewa Azam sio la serikali ya Zanzibar. Eneo la Azam ni lile lenye kesi kwenye mahakama ya usuluhishi ya kimataifa. Linapakana na na eneo la Zanzibar. Pia sisi si ni jamhuri ya Muungano wa Tanzania?? Kwani JWTZ wanalinda eneo ambalo sio mali ya Tanzania??? Maana ardhi kumbe sio ya Muungano. Kwa hiyo Watanganyika kazi tunayo aisee. Halafu si tuna ikulu Tunguu? Ardhi ile ni mali ya nani???
 
Ardhi hiyo bado ni mali halali ya Serikali ya Zanzibar, Azam watafute namna ya kusuluhisha huo mgogoro. Mwendazake alikurupuka. Unless kuna formal instrument iliyo revoke ownership ya SMZ. Still revocation inafanywa kwa public interest. Sasa tuhoji, is it a public interest kuinyang'anya ardhi SMZ na kumpa AZAM?
Ardhi ya Tanganyika ni mali ya Zanzibar? Na ardhi ya Zanzibar ni ya wazanzibar tu? Haya ndio mambo yatakayojitokeza mbele ya safari. Muda unabadilika. Mambo yanabadilika. Tuweke mambo yakae vizuri.
 
Na hata kutoliendeleza eneo tangu 1977 rais anayo mamlaka ya kubatilisha matumizi ya hilo eneo. Kuna kipindi fulani Lukuvi alifanya operesheni ya kufuta umiliki wa baadhi ya meneo ambayo yalikuwa hayajaendelezwa kwa muda mrefu ili kugawia wananchi maeneo kwa ajili ya shughuli zao za kilimo.

Haingii akilini Zanzibar iendelee kumiliki pori huku Tanganyika wakati idadi ya watanganyika inaongeza na wana mahitaji makubwa ya ardhi, huyo mwinyi aache ubabe usio na msingi kisa rais ni mzanzibari.​
Mwinyi kachemka vibaya katika suala hili. Bosi wake ni huyo Samia na asimuone mwanamama akaja na dharau za kimaamuzi, kazungukwa na washauri wenye elimu na maarifa mengi.
 
Ardhi hiyo bado ni mali halali ya Serikali ya Zanzibar, Azam watafute namna ya kusuluhisha huo mgogoro. Mwendazake alikurupuka. Unless kuna formal instrument iliyo revoke ownership ya SMZ. Still revocation inafanywa kwa public interest. Sasa tuhoji, is it a public interest kuinyang'anya ardhi SMZ na kumpa AZAM?
Kumnyanganya nani ardhi,kwa sharia ya Tanzania hamna MTU au Nchi inamiliki ardhi.Ardhi yote IPO chini ya Rais kwa niaba ya Wananchi
 
"In early 1970s, this piece land of Tanzania Mainland was ceded to Tanzania Isles, meaning Tanzania Mainland gave up of legal ownership, and surrender its power of being counted as part of its territory.

Kutokana na mazingira yaliyokuwepo wakati huo "cession" ilifanyika kupitia tamko la Rais, kama vile ilivyotokea kwa ridhaa ya suala la muungano kwa upande wa Zanzibar. Tamko la Rais Nyerere lilitumika kuhalalisha umiliki wa pande hili la ardhi huko Bagamoyo kwa Zanzibar. Tamko la Nyerere halikuwa la makabidhiano ya muda katika matumizi ya ardhi hii, bali ilikuwa ni kubadili umiliki kisheria kutoka Tanzania Bara kwenda Tanzania Visiwani.
Ushahidi wa hiyo cession upo wapi?. Sidhani kama hayatI JPM angekuwa na mamlaka ya kumkabidhi sehemu ya eneo hilo Bakhresa iwapo angejua kuwa kuna mchakato halali wa kulikabidhi eneo hilo kwa serikali ya Mapinduzi.

Unapolimilikisha eneo kwa kuweka bendera ya nchi husika hata eneo zima la nchi linalojulikana kijiografia huwa linapungua, kitu ambacho hakijawahi kutokea. Hizo ekari elfu sita zingetosha kupunguza ukubwa wa eneo la kilomita za mraba za Tanzania.
 
Back
Top Bottom