Kasome katiba ya jmtArdhi hiyo bado ni mali halali ya Serikali ya Zanzibar, Azam watafute namna ya kusuluhisha huo mgogoro. Mwendazake alikurupuka. Unless kuna formal instrument iliyo revoke ownership ya SMZ. Still revocation inafanywa kwa public interest. Sasa tuhoji, is it a public interest kuinyang'anya ardhi SMZ na kumpa AZAM?
Unamzungumzia JPM yupi!? Ni yule bingwa wa kukiuka katiba na kupindisha sheria ama mwingine?Ushahidi wa hiyo cession upo wapi?. Sidhani kama hayatI JPM angekuwa na mamlaka ya kumkabidhi sehemu ya eneo hilo Bakhresa iwapo angejua kuwa kuna mchakato halali wa kulikabidhi eneo hilo kwa serikali ya Mapinduzi.
Unapolimilikisha eneo kwa kuweka bendera ya nchi husika hata eneo zima la nchi linalojulikana kijiografia huwa linapungua, kitu ambacho hakijawahi kutokea. Hizo ekari elfu sita zingetosha kupunguza ukubwa wa eneo la kilomita za mraba za Tanzania.
Najiuliza maswali magumu,Mwinyi ndio amekurupuka. Haikuwekwa bendera ya Zanzibar hapo Bagamoyo. Nyerere hakuondoa hata kilometa moja ya eneo la Tanganyika na kuisalimisha kwa visiwa vya Zanzibar.
Kwa sheria zetu ukiwa na ardhi unapaswa kuiendeleza, usipoiendeleza serikali inapaswa kuichukua na kuipangia matumizi mengine.Ardhi hiyo bado ni mali halali ya Serikali ya Zanzibar, Azam watafute namna ya kusuluhisha huo mgogoro. Mwendazake alikurupuka. Unless kuna formal instrument iliyo revoke ownership ya SMZ. Still revocation inafanywa kwa public interest. Sasa tuhoji, is it a public interest kuinyang'anya ardhi SMZ na kumpa AZAM?
Kwa sheria zetu ukiwa na ardhi unapaswa kuiendeleza, usipoiendeleza serikali inapaswa kuichukua na kuipangia matumizi mengine.
Rais Mwinyi anazingua.Na kinachokutambulisha kisheria kwamba unamiliki eneo ni hati ya ardhi, siyo maneno ya mdomoni.....maeneo ya serikali tu yana hati, iweje hao SMZ hawana hati ya umiliki wa hizo ekari elfu 6, na pia rais wa jamhuri anayo mamlaka ya kubatilisha hati ya umiliki wa ardhi, sasa hii jeuri sijui inatoka wapi.
Meku una uhakika ardhi ya ranch ya Zanzibar na kiwanda cha Bakhresa ni hicho hicho?Na Bakhresa ni mzanzibari
Imekaa vizuri
Wazanzibari hawajui kuongea vizuri, wao ni mikwala tu (tabia za watu sio riziki) full urojoooooHili sakata la ardhi ya Bagamoyo ya hekari elfu sita kuwa ni mali ya Zanzibar lina ukakasi na halifai kupita bila ya kupata mawazo mbalimbali yenye lengo la kuboresha uelewa mpana wa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni kweli Mwalimu Nyerere aliwapa Zanzibar ardhi ya Bagamoyo ili waweze kulima miaka hiyo ya sabini, hilo halina ubishi. Na pia ni kweli hayati Rais Magufuli akaja kuwapa wawekezaji wa Azam ardhi hiyo hiyo ili wafanye shughuli zao halali.
Kumuona Charles Hillary akipiga mkwara kwamba ardhi hiyo ni mali halali ya Zanzibar ndio kinapokuja kichekesho chenyewe.
Cession ni mchakato ambao sehemu ya ardhi ya nchi moja inatolewa rasmi na kuwa ni mali ya nchi nyingine, zipo sababu nyingi zenye kuyafikia maamuzi hayo.
Kwa kiswahili tunaita KUKOMA, yaani ardhi hiyo inakoma kuendelea kutumiwa na wakazi wa nchi husika inakuwa ni sehemu halali ya nchi nyingine na kiutaratibu inawekwa bandera ya nchi iliyoichukua kuanzia siku hiyo inapokoma kuwa ni mali ya nchi inapopatikana ardhi hiyo.
Je tangu miaka hiyo ya sabini kuna bendera yoyote inayopepea hapo Makurunge Bagamoyo kuonyesha kukoma kutumika kwa kipande hicho cha ardhi?, haijawahi kuwekwa bendera ya Zanzibar kuonyesha kuwa sehemu hiyo imekoma kuwa ni mali ya Tanzania, kiutaratibu bado ukubwa wa nchi ni ule ule unaotambulika kisheria tangu Tanzania ianze kuwa nchi kamili mwaka sitini na nne.
Hayati Rais Magufuli alikuwa na haki kabisa kumpatia muwekezaji Bakhresa sehemu ya ardhi iliyo chini yake kwa mujibu wa katiba. Kitendo cha Rais Mwinyi kuja na agizo la kufukuza waliopo katika ardhi hiyo wakati mchakato wa Cession haukuwahi kufanyika ni kosa la kiufundi la serikali anayoiongoza.
Naona kama wenye mamlaka ya kumshauri Rais Samia wameamua kutulia kwanza kutazama upepo wa huko juu utapita vipi. Wameliona hili kosa la kiufundi na nahisi ni suala litakalomalizwa kimya kimya tofauti na ule mkwara wa Charles Hillary alioutoa mbele ya media kule visiwani Unguja.
Mchakato wa Cession haukufanyika na hakuna bendera mahali pale yenye kuonyesha kuwa eneo limeshamilikishwa moja kwa moja kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hayati Magufuli alikuwa na haki zote kuligawa eneo hilo na pengine sababu za Mwalimu Nyerere kuwapa serikali ya Mapinduzi miaka hiyo ya sabini hazikuwa na mashiko ya muda mrefu, zilikuwa ni temporary measures.
Rais wa awamu ya nane Zanzibar na washauri wake wamechemka katika suala hili, warudi nyuma na wajipange upya kabla ya kutoka hewani na matamko yenye kuzua maswali mengi yenye utata ndani yake.
THE LAND WAS NOT CEDED TO ZANZIBAR BUT GIVEN FOR USE BUT STILL UNDER TANGANYIKA.
Inafanya kazi gani au inauza bidhaa gani?Mkuu unaenda kwenye vitu vikubwa sana, SMZ ni taasisi siyo nchi. Ukishajua hili then hoja yako ya cessation inakufa kibudu
Kama ilivyo balozi mbalimbali ndani ya nchi...Cession inaonyesha uhalali wa umilikaji wa ardhi kumbuka inakwenda sambamba na usimikaji wa bendera yenye kuonyesha kipande cha ardhi sio mali ya nchi husika. Au kitu chenye kuonekana na kushikika mfano uwepo wa hati ya eneo husika.
Mwinyi kasubiri mpaka Bakhresa kakabidhiwa eneo tena na hayati JPM ndio anakuja kudai ardhi!!. Hayati JPM alikuwa na vigezo vyake na katiba ilimruhusu kumpa Bakhresa eneo la kufanya uwekezaji.
Mwinyi ndio amekurupuka. Haikuwekwa bendera ya Zanzibar hapo Bagamoyo. Nyerere hakuondoa hata kilometa moja ya eneo la Tanganyika na kuisalimisha kwa visiwa vya Zanzibar
Serikali maana yake nini?Mkuu unaenda kwenye vitu vikubwa sana, SMZ ni taasisi siyo nchi. Ukishajua hili then hoja yako ya cessation inakufa kibudu
Ya Wilaya au ya hifadhi?Serikali maana yake nini?
Hilo ni lako, mimi siyo muumini wa irrational, misguided and misplaced assertions kama hizi
hakuna ardhi ya Tanzania iliwahi kugawiwa mazima, waliazimwa tu wawe wanafugia mifugo. unagawaje nchi? ni mjinga tu anaweza kuamini nchi inaweza kugawiwa. Magufuli kama aliwapa watu wengine ardhi hiyo, safi sana. iliyobaki wananchi vamieni mkalime mananasi na nyanyachungu.Hili sakata la ardhi ya Bagamoyo ya hekari elfu sita kuwa ni mali ya Zanzibar lina ukakasi na halifai kupita bila ya kupata mawazo mbalimbali yenye lengo la kuboresha uelewa mpana wa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ni kweli Mwalimu Nyerere aliwapa Zanzibar ardhi ya Bagamoyo ili waweze kulima miaka hiyo ya sabini, hilo halina ubishi. Na pia ni kweli hayati Rais Magufuli akaja kuwapa wawekezaji wa Azam ardhi hiyo hiyo ili wafanye shughuli zao halali.
Kumuona Charles Hillary akipiga mkwara kwamba ardhi hiyo ni mali halali ya Zanzibar ndio kinapokuja kichekesho chenyewe.
Cession ni mchakato ambao sehemu ya ardhi ya nchi moja inatolewa rasmi na kuwa ni mali ya nchi nyingine, zipo sababu nyingi zenye kuyafikia maamuzi hayo.
Kwa kiswahili tunaita KUKOMA, yaani ardhi hiyo inakoma kuendelea kutumiwa na wakazi wa nchi husika inakuwa ni sehemu halali ya nchi nyingine na kiutaratibu inawekwa bandera ya nchi iliyoichukua kuanzia siku hiyo inapokoma kuwa ni mali ya nchi inapopatikana ardhi hiyo.
Je tangu miaka hiyo ya sabini kuna bendera yoyote inayopepea hapo Makurunge Bagamoyo kuonyesha kukoma kutumika kwa kipande hicho cha ardhi?, haijawahi kuwekwa bendera ya Zanzibar kuonyesha kuwa sehemu hiyo imekoma kuwa ni mali ya Tanzania, kiutaratibu bado ukubwa wa nchi ni ule ule unaotambulika kisheria tangu Tanzania ianze kuwa nchi kamili mwaka sitini na nne.
Hayati Rais Magufuli alikuwa na haki kabisa kumpatia muwekezaji Bakhresa sehemu ya ardhi iliyo chini yake kwa mujibu wa katiba. Kitendo cha Rais Mwinyi kuja na agizo la kufukuza waliopo katika ardhi hiyo wakati mchakato wa Cession haukuwahi kufanyika ni kosa la kiufundi la serikali anayoiongoza.
Naona kama wenye mamlaka ya kumshauri Rais Samia wameamua kutulia kwanza kutazama upepo wa huko juu utapita vipi. Wameliona hili kosa la kiufundi na nahisi ni suala litakalomalizwa kimya kimya tofauti na ule mkwara wa Charles Hillary alioutoa mbele ya media kule visiwani Unguja.
Mchakato wa Cession haukufanyika na hakuna bendera mahali pale yenye kuonyesha kuwa eneo limeshamilikishwa moja kwa moja kwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Hayati Magufuli alikuwa na haki zote kuligawa eneo hilo na pengine sababu za Mwalimu Nyerere kuwapa serikali ya Mapinduzi miaka hiyo ya sabini hazikuwa na mashiko ya muda mrefu, zilikuwa ni temporary measures.
Rais wa awamu ya nane Zanzibar na washauri wake wamechemka katika suala hili, warudi nyuma na wajipange upya kabla ya kutoka hewani na matamko yenye kuzua maswali mengi yenye utata ndani yake.
THE LAND WAS NOT CEDED TO ZANZIBAR BUT GIVEN FOR USE BUT STILL UNDER TANGANYIKA.
Asante umeweka mfano mmoja mzuri sana.Kama ilivyo balozi mbalimbali ndani ya nchi...
Mbona nyuma ya Daressalaam wameweka bendera teyari baada ya kudeka mwaka huu wakakubaliwa kuwa Visiwa vidogo mashariki mwa Dar ni sehemu ya zenji kisa tu kuna kumbukumbu ya Sultan kufika miaka 100 iliopita. Hivyo Dar haina bahari