Rais wa Zanzibar tafuta washauri wazuri suala la ardhi ya Bagamoyo

Zanzibar walimilikishwa hiyo ardhi kama ambavo wewe umemilikishwa hilo shamba lako .yaani ardhi ni mali ya taasisi iitwayo SMZ Kama ilivo ardhi wanayomiliki kanisa katoliki hapa tanzania .ile ardhi ni sehemu ya nchi ya Tanzania bara kama zilivo ardhi za wananchi tu mmoja mmoja .ukiwa kwenye ile ardhi bagamoyo hauko zanzibar.ni.kama zanzibar leo ikanunue ardhi marekani inaruhusiwa kabisa na hadhi ya kumiliki ni kama hiyo ya bagamoyo ambayo duniani bagamoyo.yote ni sehemu ya nchi moja tu duniani inaitwa tanzania bara.
 
Phillipo, nakuelewa sana kuhusu cession na nakuhakikishia ni topic isiyoeleweka kirahisi. Una hoja sana

Swali la Kujiuliza ni hili, ardhi waliyopewa ni ya Zanzibar? au wamekodishwa?
Jibu ni rahisi, Nyerere aliwapa ardhi watumie kwa Ranchi kama sehemu ya Tanzania. Ni kwa msingi huo Zanzibar wana hati miliki kama alivyo nayo mtu mwingine.

Mfano Tanzania imetoa ardhi kule Arusha kwa HQ ya EAC, EAC Law society na Court of Africa.
Hii haina maana ardhi imechukuliwa, la hasha, wamemilikishwa tu kama Zanzibar

C.Hillary hakueleza vizuri, alichosema eti ni ardhi ya Zanzibar ni ignorance tu.

Hata hivyo kitendo cha SMZ kutoa kauli juu ya ardhi ya Tanzania na Rais wa JMT ambaye ni 'trustee' kukaa kimya kinaeleza jambo. Swali la kujiuliza katika mazingira kama haya nani anaitetea Tanganyika?

JokaKuu Pascal Mayalla
 
.THE LAND WAS NOT CEDED TO ZANZIBAR BUT GIVEN FOR USE BUT STILL UNDER TANGNYIKA.
Naunga mkono hoja, ila Nyerere hakuligawa eneo hilo kuwa sehemu ya Zanzibar, Zanzibar walipewa offer tuu ya kulimiliki, kama wamiliki wengine wote, na eneo hilo bado ni sehemu ya Tanzania.

Zanzibar ilipaswa kulisurvey na kuomba hati miliki, hawakufanya!. Baada ya kashfa ya Makurunge, Zanzibar ililitekekeza eneo hilo kwa miaka 45 mpaka juzi!. Serikali ya Kikwete ililimega kuwapa wawekezaji, serikali ya JPM ikalimega kumpa Bakheresa, na Halmashauri ya Bagamoyo ikalimega kuwapa wananchi!.
Karibu mitaa hii Wabara ondoeni shaka, ardhi ya SMZ Bagamoyo si sehemu ya Zanzibar. SMZ haina hati; limetelekezwa miaka 45 ila SMZ inamiliki kihalali
P
 
Hujui unalolisema. Smz imemilikishwa na Ina uwezo wa kulirudisha mikononi mwake na kuwekeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…