Rais wangu kipenzi Samia kwaheri umeniumiza sana

Rais wangu kipenzi Samia kwaheri umeniumiza sana

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu.

Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?

Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!
 
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu. Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwakweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?
Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana !
Mmhh!

Naona kama amevuka mstari mwekundu kwa kauli yake hii.

Ajifunze kupitia historia waliyopitia wenzake wengine waliomtangulia kwenye cheo Kama hiki cha kwake. Rais Dikteta Samuel Doe wa Liberia alikuwa na kiburi kama hiki hiki alichonacho yeye, lakini alijitokeza mbabe mmoja Bw. Prince Johnson alimnyoosha Samuel Doe hadi dunia yote ilitikisika kwa kishindo cha kunyooshwa kwake.
 
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu. Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwakweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?
Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana !
Nilisikitika aliposema eti kifo cha mtu mmoja ndo imekuwa nogwa. Nikajua hapa hatuna kiongozi. Utamu wa utawala unamtoa kwenye mstari8
 
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu.

Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?

Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!
Kwa hakika kabisa Mungu ataamua huu ugomvi
 
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu.

Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?

Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!
Wengi walmpenda kwa kufuata mkumbo "Anaupiga mwingi", na hadi umemwagika Sehemu isiyo sahihi.
 
Nilisikitika aliposema eti kifo cha mtu mmoja ndo imekuwa nogwa. Nikajua hapa hatuna kiongozi. Utamu wa utawala unamtoa kwenye mstari8
Kweli kabisa nilishangaa hata Mimi!! Kwa ukilinga maafa ya huyu na wengine wanaokufa kwa sababu ya mapenzi au uchawi, unaona tofauti kubwa kwa sababu huyu ameuliwa na watu wanaodhaniwa mi polisi, Mahalia ambapo mi kimbilio letu!!!
Bado anataka tuendelee kuwaamoni??? Kweli!!!😭😭🤣
 
The president has spoken a lot but she said nothing.
Hakuna kitu chochote kilichosemwa.
We are just at square one.
Rais amesema anaona uchungu Ali Kibao ameuawa.
Rais amesema anaona uchungu Serikali haiheshimiwi.
 
Back
Top Bottom