Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu.
Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?
Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!
Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?
Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!