Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu bado tu anazungumzia 4R!!?? Nahakika atakuwa aliwapongeza polisi wake wamefanya KAZI nzuri ya kuua japo hausema hadharani😭Hakika!
Kwenda zako uonane na nani wewe kibaraka!Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu.
Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?
Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!
Atawanyosha!Watu wamepewa green light naona 😄
Yule jamaa aliye trend majuzi kati hapa naona sahv anacheka tu 😄
Ova
Samia alianza vizuri na anaendelea vizuri, muwe waangalifu kuhusu hizo gharama mnazoingia katika kutaka kumchafua Rais ili aonekane kachafuka.Rais Samia amini kwa dhati nilikupenda na niliamini kweli umekuja kutufuta machozi baada ya miaka 6 ya hofu na mateso mengi. Ulianza vizuri kufanya upatanisho baada ya mtangulizi wako kuichafua historia nzuri ya taifa letu ukazidi kutufurahisha wapenzi wako baada ya kuja na 4R tukaendelea kukuombea kwa Mungu.
Ila sasa kwa mambo yaliyotokea hasa kuuwawa kwa mzee Ally na baadae kufwatia reaction yako jana kwa kweli umetuumbua wapenzi wako tuliona aibu kumkumbuka magufuli baada ya ile kauli yake mtanikumbuka sasa hakika tunamkumbuka kwani jambo baya akilifanya mwanamke linakuwa baya zaidi mama umefanya jambo baya hukupaswa kuzungumza kwa tone ile wewe ni mfariji mkuu sasa unatufokeaje msibani?
Basi kama tulivyomuachia Mungu wakati wa Magufuli basi tunamuachia Mungu na sasa. Kwaheri ya kuonana!
Ni uthibitisho wa kuwepo kwa dalili za mwisho kabisa kabla ya 'Kuanguka kwa Mnara wa Babeli.'Mpaka sasa siamini kama zile kauli alizitoa mama, amepatwa na nini? Ni haya maandamano ndio yamemvuruga kiasi hiki?
Tayari mbona kitambo tu. Wa kijani wenzake wameshamjaza kwenye mfumo wapo wanachekea tumboni anavyotoa mapovu kuwawakia Chadema."Mpaka mambo yaharibike sana"
Colabo ya Albadri na Kurjuan hiyo kudadadadeq.Mpaka sasa siamini kama zile kauli alizitoa mama, amepatwa na nini? Ni haya maandamano ndio yamemvuruga kiasi hiki?
AiseeNilisikitika aliposema eti kifo cha mtu mmoja ndo imekuwa nogwa. Nikajua hapa hatuna kiongozi. Utamu wa utawala unamtoa kwenye mstari8