Rais wangu kipenzi Samia kwaheri umeniumiza sana

Watu wamepewa green light naona 😄
Yule jamaa aliye trend majuzi kati hapa naona sahv anacheka tu 😄

Ova
 
Kwenda zako uonane na nani wewe kibaraka!
 
Samia alianza vizuri na anaendelea vizuri, muwe waangalifu kuhusu hizo gharama mnazoingia katika kutaka kumchafua Rais ili aonekane kachafuka.
 
Mpaka sasa siamini kama zile kauli alizitoa mama, amepatwa na nini? Ni haya maandamano ndio yamemvuruga kiasi hiki?
Ni uthibitisho wa kuwepo kwa dalili za mwisho kabisa kabla ya 'Kuanguka kwa Mnara wa Babeli.'

Anguko lipo njiani linakuja.
 
3% ya speech ya Samia alitumia kulaani mauaji
97% ya speech alitumia kufokea walio react na utekaji na mauaji

Rais anapaswa kuwa MFARIJI wa taifa hata kama ni KINAFIKI lakini sio kwa vichambo na mipasho na vitisho vile asiee

Mbaya zaidi anawapongeza polisi kwa kazi nzuri ya kutukuka ndani ya ombwe la utekaji na mauaji ambapo hakuna kesi hata moja ilipatiwa majibu
 
Tayari keshatolewa kwenye reli. Halafu cheo chenyewe alikiokota kama embe dodo. Halafu approval rate yake imeshushwa sana na matukio ya utekaji.
 
Uraisi ni taasisi, hiyo taasisi ina mifumo yake ,,,,,

Kuna kipindi we Africans tulimlaumu sana Obama kumuuwa kanal Muammari Gadaffi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…