Rais wangu Magufuli, na mwezi huu wa nne utapokea mshahara kama watumishi wengine?

Rais wangu Magufuli, na mwezi huu wa nne utapokea mshahara kama watumishi wengine?

Mkuu fanya maamuzi magumu jifungie nyumbani wewe na familia yako. Rahisi namna hiyo. Kuna watu wamefanya hivyo, hata wewe unaweza, nchi huru hii.
 
Pumba kabisa
Hapa kuna makundi mawili, wale waliokuja Duniani kulinda Dunia na wale waliokuja Duniani kutalii.
Waliokuja kutalii hawana wasi wasi maana kwao, kuishi ni Kristo na kufa ni faida.. Wale walinzi wamejawa na hofu kuu iwapo 'wataamriwa kuondoka' Duniani itakuwajee?
Tusitishane!
Kwa maana maandiko yanasema, mwenye haki wangu, ataishi kwa imani.
Watu tume survive ugonjwa wa ndui, Rift valley fever, swine flu etc na hili la Corona tuta survive tu kwa msaada wa Bwana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msikilize Waziri Ummy hapa halafu uniambie kuna nini umegundua. Je, kajisahau tu?

 
Mama Samia Hassan hajulikani yupo wapi

Ila kweli. Mbona wale tuliokuwa tunawategemea wawe mstari wa mbele wametoweka? Magufuli, Samia, Kabudi? Personal conscious decisions, a government strategy? Security precaution? Are they having a deep soul-searching retreat?
 
Watumie hizo akiba
IMG_20200419_152843.jpg


Sent using Acity App
 
Nimesoma alichoandika mleta thread kaandika upupu tu,nimesoma comments za baadhi ya wachangiaji,ki ukweli sielewi ni kwanini Watanzania mnajifanga wajuaji kwa vitu msivyovijua,hili janga ni la kidunia huwezi ukamtupia mtu yeyote lawama wa nchi yetu.Mh Rais ana nia njema tu na nchi yetu na kwa hili janga pia tutavuka salama.Mungu huwa hashindwi.Na Mh Rais kaliona hili tayari akaamuru tuombe kama Taifa kwa ujumla.
 
Nimesoma alichoandika mleta thread kaandika upupu tu,nimesoma comments za baadhi ya wachangiaji,ki ukweli sielewi ni kwanini Watanzania mnajifanga wajuaji kwa vitu msivyovijua,hili janga ni la kidunia huwezi ukamtupia mtu yeyote lawama wa nchi yetu.Mh Rais ana nia njema tu na nchi yetu na kwa hili janga pia tutavuka salama.Mungu huwa hashindwi.Na Mh Rais kaliona hili tayari akaamuru tuombe kama Taifa kwa ujumla.
basi angenyamaza asijifanye mjuaji!
 
Back
Top Bottom