Rais wangu Magufuli, na mwezi huu wa nne utapokea mshahara kama watumishi wengine?

Simply the best posting I have read thus far!

Unajua, hii 'coronavirus' imebidi wengine tuanze kuangalia viongozi waliopo maeneo yetu haya.

Kuna madikteta wasiotaka kuondoka madarakani, na kuifanya nchi kama mali yao kabisa.
Mfano ni Museveni.

Pamoja na ung'ang'anizi wake wa kutotaka kuondoka, anaonekana kuwa 'a benevolent dictator', anayefanya mambo yake kwa uhakika na kwa utilivu zaidi. Hapapaliki yule jamaa!

Huyu wa kwetu anamatatizo makubwa sana; hasa yanayohusu uliyoyaeleza kwenye 'post' hiyo hapo juu.
 
Wakati huo, wenzetu hapo majirani Kenya walikuwa na takribani bilioni 9; lakini walikuwa hawajigambi kutafuta sifa.

Hiyo ya "tokea tupate uhuru" inaonyesha kutojua misingi ya maendeleo ya nchi.

Aseme hapo kama kiasi hicho cha limbikizo kakitengeneza yeye tokea sufuri.

Hapa ndipo anapotumia ujinga wa watu kujitafutia sifa asizostahiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…