Rais wangu Magufuli nchi ipo salama mtu anapigwa risasi saa 7 mchana?

Rais wangu Magufuli nchi ipo salama mtu anapigwa risasi saa 7 mchana?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nchi ipo salama Tundu Lissu anapigwa risasi saa 7 mchana au usalama ni kwa watanzania wapi?

Nchi ipo salama Akwilina anapigwa risasi mchana? Nchi ipo salama Lwejabe.

Azory, Ben Saanane wanatoweka mchana? huu usalama ni kwa wakina nani?

Nchi ipo salama Nape ananyoshewa bastola mchana?

Nchi ipo salama clouds inavamiwa na watu wenye mabunduki na wanatoweka?

Nchi ipo salama watu kama Loma, Ney, Nondo na Mo wanatekwa na kutelekezwa mpaka leo kimya?

Au hawa sio watanzania? kama ni itikadi ya kisiasa vipi kuhusu kuzuiliwa kwa Husein Bashe na Msukuma je waliowazuia walijulikana?

Hivi kweli tuna usalama wa kutosha? au viongozi ndio mko salama?

Rais wangu nijuavyo mimi ulinzi ni kwa wote kila mtu analipa kodi ni haki yake kulindwa.
 
Nchi ipo salama Tundu Lissu anapigwa risasi saa 7 mchana au usalama ni kwa watanzania wapi? Nchi ipo salama Akwilina anapigwa risasi mchana? Nchi ipo salama Lwejabe, Azory, Ben Saanane wanatoweka mchana? huu usalama ni kwa wakina nani?

Nchi ipo salama Nape ananyoshewa bastola mchana?

Nchi ipo salama clouds inavamiwa na watu wenye mabunduki na wanatoweka?
Huyu mupe yure MURUKE....
 
Hapo alilenga zaidi usalama wake binafsi pamoja na wapambe wake na siyo kwa raia wa Tanzania.
Raia wa Tanzania wanafanya kazi usiku kucha.Sijui ulikuwa una maanisha watanzania gani? Maana watu wanakesha wakifanya kazi. Pita bugurini saa 8 usiku utapata jibu.
 
Raia wa Tanzania wanafanya kazi usiku kucha.Sijui ulikuwa una maanisha watanzania gani? Maana watu wanakesha wakifanya kazi. Pita bugurini saa 8 usiku utapata jibu.
Yeye alilenga nini wakati kuna Mtaz mwenzetu kamiminiwa risasi mchana kweupe kwenye viwanja hivyo vya Bunge alikotamkia leo??
 
Yeye alilenga nini wakati kuna Mtaz mwenzetu kamiminiwa risasi mchana kweupe kwenye viwanja hivyo vya Bunge alikotamkia leo??
Kwani kibaka akimkwapua mtu mmoja bag ndio kusema watu wote wameibiwa? Huwezi kudhibiti uhalifu 100%, hata ulaya kuna watu wanapigwa risasi.
 
Kwamba unamaanisha jowe ndo kawatuma hao wYu au umemaanishaje yani
 
Kwani kibaka akimkwapua mtu mmoja bag ndio kusema watu wote wameibiwa? Huwezi kudhibiti uhalifu 100%, hata ulaya kuna watu wanapigwa risasi.
Ila ujue uwa hawafichi upelelezi na uwa hawaibi CCTV kwenye tukio.

Vip upelelezi wa mauaji ya Mawazo umefikia wapi?
 
Maana yake usalama wao ndio wanaamua, nani apewe, nani anyimwe.
 
Kwani Tanzania ndiyo Nchi pekee mtu kupigwa risasi mchana na kesi kuwa unsolved?
 
Back
Top Bottom