Rais wangu Magufuli nchi ipo salama mtu anapigwa risasi saa 7 mchana?

Rais wangu Magufuli nchi ipo salama mtu anapigwa risasi saa 7 mchana?

As much as I have an issue with magu....ila kinachowacost. Ni kulalama bila solution iinayoeleweka wer
 
chagu wa malunde
Uccm usikufanye kipofu usiyeweza ona matukio yanayoendelea nchini!

Hivi suala la Tundu Lissu kumiminiwa risasi mwilini mwake,mchana kweupe, nalo linahitaji kila mtu awe ameshuhudia??

Hivi vyombo vya habari vinafanya kazi gani, kama siyo kuhabarisha wananchi??
Anatoa maelezo kama alikuwepo eneo la tukio.Lazima tumuulize.
 
Kwani kibaka akimkwapua mtu mmoja bag ndio kusema watu wote wameibiwa? Huwezi kudhibiti uhalifu 100%, hata ulaya kuna watu wanapigwa risasi.
Ulaya mtu akipigwa risasi kuna asilimia 99.99% kwa wahusika kukamatwa.
 
Niatjie nchi ambayo hakuna raia wanaouana duniani kote,,
kumtumia mtu mmoja Kama kielelezo Cha kuwepo au kutokuwepo amani katika nchi nikujenga hoja dhaifu.

Look at the Majority kuanzia utulivu wa mtaani kwenu hapo mpaka ngazi ya Taifa. Mbona marekani weusi wanapigwa risasi mchana kweupe na police and still nchi bado inajulikana kuwa Ina amaani?
 
Yeye alilenga nini wakati kuna Mtaz mwenzetu kamiminiwa risasi mchana kweupe kwenye viwanja hivyo vya Bunge alikotamkia leo??
Kwahiyo hiyo sample size ya mtu mmoja ndiyo ina justify kwa watu 50m
Kuna muda tuweke politics pembeni twendeni na fact/number basi wakuu
 
Back
Top Bottom