RAIS WANGU MAMA SAMIA NI BORA SANA MAAFISA UBASHIRI KURA YETU UNAYo

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Jana nimetengeneza million 45 aisee namshukuru sana raisi Kwa kutofungia hizi kampuni za betting licha ya wajinga Fulani ambao mambo yamekua magumu kwao kwenye hii sekta ya maafisa ubashiri kukushauri ufunge kumbe hii sekta Ina watu wake ambao ni sisi sababu zinatubadilishia maisha sisi watoto wa kimasikini mama kura yetu unayo sisi maafisa ubashiri betting ni biashara rasmi duniani unaupiga mwingi sana mama kazi iendelee na tunalipa Kodi safi kabisaaa
 
Fanya hata liten Basi afisa ubashiri, a.k.a mwekezaji πŸ™πŸ™
 
Aisee we jamaa mbona nyuzi nyingii πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€£πŸ€£
 
Sema wewe unamshukuru kuna watu ni maafisa ubashiri kama wewe washapigwa hukuu😊😊
Hao ni WA huko kwenu ambao hawana akili sisi huku mtaani tunakula sana pesa ya betting hivyo tunamshukuru raisi Kwa kuendelea kutujali maafisa ubashiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…