Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Rais wangu Samia wale jamaa hawatishiwi!

Russia kununua silaha North Korea au Iran haimaanishi kaishiwa silaha.
Hizo ni war strategy tu.
Mwaka jana Russia kauza weapon unit 1290+.
Pia wenyewe NATO wanakwambia uzalishaji silaha Russia umezidi mara dufu ya mwanzo.
Ndio maana nikakwambia kuna mambo mengi kuhusu geopolitics hujui.
Na hapa utasema tunabishana.
View attachment 3098845View attachment 3098846
Hii vita ina mambo mengi ili uweze Kushinda au kushindwa, kuna kuwa na silaha , kuna suala la uchumi wako kuhimili vita ndefu kama ulipanga vita fupi, kuna idadi ya majeruhi au vifoo, na kuna , vita vya maneno, magazeti na kadhalika. Kumbuka ukraine walikuwa tayari Ku saini mkataba wa amani Kwa kutekeleza makubaliano ya miski, uturuki, lakini wakaambiwa na US na UK wasisaini. Pili 2014 ufaransa na ujerumani waliwaambia wakubaliane na Hali kumbe walikuwa wakitafuta muda WA kujipanga na kujenga jeshi lao. Sasa hivi hii vita ni 50/50 aidha ukraine apigwe zaidi na kuishiwa wanajeshi wa kupigana au warusi waone h hawa wezi kuendelea na hizi mbio ndefu na sio fupi kama walivyo tegemea.
 
Acha uzwazwa na ukae chini utafiti.
China kufikia 1992 ilikua ina viwanda ELFU ARUBAINI NA TANO ambavyo ni FULL GOVERNMENT OWNED.
Japo baadhi vilikua vya watu binafsi ila vilikua na government subsidies.
Viwanda vingi vya China vikubwa na makampuni mengine ni government subsidies vikimilikiwa na China wenyewe.
Uwekezaji wa USA na wazungu ndani ya China hauwezi ukashindana na uwekezaji wa China wenyewe wazawa.
Kuanzia simu,nguo,magari n.k n.k.
Yaani commies wameosha akili yako hasa! Hadi 2003 China haikuwa na meaninful industry zote zilikuwa crude. Baada ya kuingia WTO ndiyo ikapaa why? Do research
 
Vyuo vyamarekani kuna kwejye kila coz hakisekani raia wa kichina acha ubishi Mchina aslimia 90% ya bidhaa zake anauza sana U.S.A na ulaya ndo anakopata faida huku afrika anauza takataka
Soma alichoandika huyo halafu fananisha na nilichomjibu.
Pia kuwepo kwa wanafunzi wa Kichina USA hakuondoi kuwa China sasa hivi ndio inaongoza kwa R&D.
 
Hahaahaha hao hao makada wenzie wa Lumumba wakijambishwa diplomatic passport zao na familia zao 2025 wanazusha zengwe na kukata jina pale Dodoma.

Dogo Janja au madelu wanapewa kijiti.
 
Yaani commies wameosha akili yako hasa! Hadi 2003 China haikuwa na meaninful industry zote zilikuwa crude. Baada ya kuingia WTO ndiyo ikapaa why? Do research
Vyote hivyo navijua sina sababu ya kwenda kusoma.
Ila kasome wewe kwanini China anaonekana kuwa mshindani mkubwa duniani wa kibiashara!?
Na kwanini Trump alisisitiza China itolewe kuwa Mid income iwe nchi ya ulimwengu wa kwanza na itolewe kwenye unafuu wa kibiashara kwenye vipengele vya WTO??
Wakati mnaibeza China Italy, France na Germany wanasafiri kuelekea China kuwaomba negotiations za kibiashara.
Unajua kitu kinaitwa BRI??
 
Hii vita ina mambo mengi ili uweze Kushinda au kushindwa, kuna kuwa na silaha , kuna suala la uchumi wako kuhimili vita ndefu kama ulipanga vita fupi, kuna idadi ya majeruhi au vifoo, na kuna , vita vya maneno, magazeti na kadhalika. Kumbuka ukraine walikuwa tayari Ku saini mkataba wa amani Kwa kutekeleza makubaliano ya miski, uturuki, lakini wakaambiwa na US na UK wasisaini. Pili 2014 ufaransa na ujerumani waliwaambia wakubaliane na Hali kumbe walikuwa wakitafuta muda WA kujipanga na kujenga jeshi lao. Sasa hivi hii vita ni 50/50 aidha ukraine apigwe zaidi na kuishiwa wanajeshi wa kupigana au warusi waone h hawa wezi kuendelea na hizi mbio ndefu na sio fupi kama walivyo tegemea.
Sawa japo muelekeo unaonesha kuwa Ukraine ana possibility kubwa ya kushindwa.
Kwa sababu raia wenyewe wa Ukraine wanalalamika kuwa jeshi lao linalazimisha raia kujiunga vitani,hadi watu wazima wa miaka 50+ wanakuwa recruited kilazima.
Sasa hapo mkuu unaona Ukraine ikihimili vita kweli?
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Tanzania sio Nchi ya wajinga wewe,hao Kina Sadam walikuwa na interest za kimaslahi.

Beberu hatuoangii kitu
 
Acha uzwazwa na ukae chini utafiti.
China kufikia 1992 ilikua ina viwanda ELFU ARUBAINI NA TANO ambavyo ni FULL GOVERNMENT OWNED.
Japo baadhi vilikua vya watu binafsi ila vilikua na government subsidies.
Viwanda vingi vya China vikubwa na makampuni mengine ni government subsidies vikimilikiwa na China wenyewe.
Uwekezaji wa USA na wazungu ndani ya China hauwezi ukashindana na uwekezaji wa China wenyewe wazawa.
Kuanzia simu,nguo,magari n.k n.k.
Mimi niko huku UN wewe boya huko vijiwe vya Kahawa.....
 
Nachozungumzia mimi sio service za kawaida bali ubadilishaji wa vifaa.
Service ya kubadilishwa spare haijawahi kufanyika kwa hizo helikopta.
Ilibaki kufanyiwa matengenezo ya kawaida tu ambayo sio yenye ufanisi.
Helikopta sio kama baiskeli kaa ujue hilo.
Hivi unajua kama hizo Bell 212 zilishatolewa model mpya??
Na tangia 1979 walipigwa vikwazo na kuzuiwa kununua spare za hizo helikopta.
We utasema hapo kulikua na service ya maana imefanyika!??
Au wewe una akili kuliko IRGC red crescent team ambao walidai walikua wanaitumia kama ambulance mara moja moja!??
Jinga kabbissa
Si wangenunua za urusi au china , kuepuka hayo mapungufu ya kurusha "hedikopta" mbovu isiyo na matengenezo rasmi
 
We unabishana na huyo!?
Mtu anayekwambia Russia anategemea kuuza silaha peke yake.
Hajui hata vyanzo vya mapato ya Russia,hajui kama Germany na mataifa mengi ya Ulaya yananunua gesi na petroleum Russia.
Unajua kuna fedha na Mali nyingine za urusi zimezuiwa, unajua madhara ya vikwazo Kwa urusi, Kwa Nchi za ulaya magharibi kuacha au kupunguza manunuzi
 
Naona leo umejitutumua mama yangu!

Umewapiga biti kweli na kuwaeleza wasikupangie cha kufanya. Na umewatisha kweli.

Tahadhari yangu kwako. Wale jamaa hawajibiwi hovyo. Kukaa kimya nayo ni busara tu na hutapungukiwa chochote!

Najua unawajua kina Sadam Hussein, Muamar Gadaffi, Gamal Abdi Nasser, The late former president of Iran, Mugabe, Patrice Lumumba na wengineo wengi. Basi usisahau hata mtangulizi wako Magufuli

Kama unaishi nyumba ya vioo usirushe mawe. Unayemtegemea Putin anapigana vita Ukraine mwaka wa 3 sasa na hajui atashinda lini.

Soma Pia
- Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haiwezekani tuwaogope ndani ya nchi. Hii ni Tanzania bwana tunaweza kuichapa hata marekani
 
Hahaha hahaha, halafu kesho au kesho kutwa tunaenda kuomba fedha zao, bahati yetu tuliongea LOKO LANGUEJI, hebu tuongee U'NGE U'NGE tuone, mapema Jumamosi asubuhi tungepitisha sheria ya ushoga.
Hawana mihemuko, wanajua tu utakuja, hawatumi mabavu , bali sayansi
 
Back
Top Bottom