Rais wapunguzie kina Mbowe asali, wamepagawa

Msiturudishe kwenye viroba, sio tu walambe bali wanywe kabisa asali kama inanyweka ila isiwakabe

Upinzani sio uadui
Mimi vote yangu iko conservatives ila kwa huko bora iwe hivyo walambishwe tu
Siasa ya kubakana hatutaki tena
Waache ndugu wajitanue ila mpambane na ajira na viwanda tu

Ajali nazo mkaziangalie maana kila leo mnakufa kwa ajali za kizembe
 

Naona CHADEMA wamewaingiza kwenye mtego. Mmebakia na kaneno kulamba asali Basi. CHADEMA itawapiga suprises mpaka mchanganyikiwe.
 
Chadema wanafanana na wale wanyama wa serengeti wanaohama hama kwenda Kenya na kurudi kwa msimu.

Sijui wanaitwaje wale nimesahau jina lao?

Ndio kilichobaki, ila nimependa CHADEMA wanavyofanya, yani kuwafanya muwajadili wao na kuwapa influence. Big up CHADEMA.
 
Naona CHADEMA wamewaingiza kwenye mtego. Mmebakia na kaneno kulamba asali Basi. CHADEMA itawapiga suprises mpaka mchanganyikiwe.
Samia keshawajulia.
Sasa hivi akina Mbowe hawewezi kumkosoa maana wako busy kuimba sifa zake
 
Tofautisha kati ya siasa za maridhiano na siasa za kishosti kati ya chama tawala na upinzani. Hakuna siasa za hivyo zenye tija

Juzi mlikiita chama Cha fujo, leo mnalia lia eti Rais asiwape asali. Mbona hamueleweki? CHADEMA endelea na suprises mpaka watu wasiojulikana wajulikane.
 
Mikutano ya kupiga kelele majukwaani imekusaidia nini mpaka sasa toka lema aanze kubweka?

Wewe Kama haikusaidii kaa kimya. Waache inao wasaidia waendelee nayo. Mkoloni mwenyewe aliwaruhusu TANU wafanye mikutano nchi nzima, ila wewe ngozi nyeusi unaona shida wenzako kufanya mikutano.
 
Magufuli aliwapiga pini au uoga? Aliogopa kutokana na uchaguzi wanot2015, kwamba Upinzani ungepata influence kubwa.

Mwanaume mzima unazidiwa na mwanamke aliyeamua kuwaruhusu wapinzani wafanye siasa. Magufuli was a coward.
 

Hakuna Cha faili Wala Nini. Yule Magufuli kwanza kaingia ikulu kibahati kwa asilimia 58, yani asilimia chache kuliko mgombea yeyote wa CCM aliyewahi kushinda urais. Sasa kwa uoga akaona awazuie Upinzani kufanya siasa, ila mwisho kafa kawaacha Upinzani wanaendelea na mambo yao.
 
Kwa hoja hizi dhaifu tulizo zisikia siku mbili hizi tokea hio mkutano yao ya hadhara kulikua na umuhimu wa kuifungia hio mikutano.

Siasa ni utapeli uliohalalshwa na wanasiasa ni matapeli ambao wanaubinafsi ulio pitiliza

Pole Sana. Utapeli ulikuwa awamu ya tano. Unanua watu halafu wanahamia chama tawala na kupewa ubunge na unaibu waziri.
 
Poleni sana, Samia anawaanika viongozi wenu waganga njaa.

Mnaumia lakini Mtafanyaje sasa Mbowe na genge lake wako busy na asali yao na wala hawana mpango na nyinyi na hamna cha kuwafanya!

Tatizo lako njaa zako unadhani kila mtu yupo Kama wewe. Mbowe awe na njaa kwa lipi?. Kubalini, CHADEMA imewapiga chenga ya mwili mmebaki na masononeko. Hamuamini kwamba leo Hakuna watu wasiojulikana.
 
Poleni sana, Samia anawaanika viongozi wenu waganga njaa.

Mnaumia lakini Mtafanyaje sasa Mbowe na genge lake wako busy na asali yao na wala hawana mpango na nyinyi na hamna cha kuwafanya!
Ni kweli waendelee kulamba asali. So long Akina Ben Saanane na Risasi za akina Lisu hazitatokea tena. Supu ya Damu mmemiss sana nyie Wapumbavu.
 
Mnaongea sana alafu mnajisahau haya twambie sasa hivi mpo kwenye chama chenu chini ya MBOWE au mpo kwenye Chama cha ccm chini ya SAMIA?

Hayo ni mawazo yako. Mwenyekiti wa CHADEMA ni Mbowe na Mama Samiah ni Rais wa nchi. CHADEMA baada ya maridhiano na serikali imeamua kumtambua. Shida ipo wapi?. Siasa za kulimana risasi na viroba ziliishia na mwendazake.
 
Weee dogo wewe, umesema aliyezuiq mikutano alikuwa yuko right.
Nikakuuliza uoni kuwa unaona hapo ni kuvunja katiba and you are supporting that??

Hayo ni mawazo yako. Mwenyekiti wa CHADEMA ni Mbowe na Mama Samiah ni Rais wa nchi. CHADEMA baada ya maridhiano na serikali imeamua kumtambua. Shida ipo wapi?. Siasa za kulimana risasi na viroba ziliishia na mwendazake.
Jengeni chama hacheni uzumbukuku,Mmeishiwa hoja mnaishia kumzungumzia tu Huyo mtu.
 


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…