Rais wapunguzie kina Mbowe asali, wamepagawa

Jengeni chama hacheni uzumbukuku,Mmeishiwa hoja mnaishia kumzungumzia tu Huyo mtu.

Tumeishiwa hoja gani? Chama kilishajengwa ndio maana leo kinaongelewa nchi nzima na kufatiliwa na watanzania wengi.

Ila Shetani lazima akemewe hata Kama haonekani. CHADEMA kwa raha zetu tunapasua anga wafuasi wa ibilisi wamenuna, walifurahia Lissu kulimwa risasi na mauaji ya saa nane. Ila CHADEMA kuwa huru kufanya siasa imekuwa nongwa.
 

Tunamshukuru Mungu kwa Sasa watu wasiojulikana hawapo na kulima watu risasi kumeisha. Kiongozi yeyote ambaye aheshimu uhai wa raia hata mmoja hafai kuishi kwenye uso wa Dunia. Huwezi kumwaga damu ya Rais wako ukategemea kuishi, ndio maana wengine wamekufa kwa aibu huku wamefichwa.
 
Mtaleta vimisemo vyote ila ukweli mnaujua.
 
ni CDM au ilikuwa ni kwa vyama vyote?tuweke sawa hapa tusipotoshane.
 
Hayo ni mawazo yako. Mwenyekiti wa CHADEMA ni Mbowe na Mama Samiah ni Rais wa nchi. CHADEMA baada ya maridhiano na serikali imeamua kumtambua. Shida ipo wapi?. Siasa za kulimana risasi na viroba ziliishia na mwendazake.
maridhiano gani wewe unayoyazungumzia?

Wanaoridhiana ni pande mbili zilizokoseana, Sasa Chadema walimkosea nini Samia hadi waridhiane naye?
 
Mnavyosemaga saa nane aliuwawa mlishaonaga mwili wake,lissu kumiminiwa lisasi hajawai semwa ni akinani na yeye kaishi huko kwa basha wake yuko free kusema hajawai wataja mpka sasa mana alisema anawafahamu.
Chama kinazungumziwa sio kwa mazuri bari kwa ujinga wenu.
 
ni CDM au ilikuwa ni kwa vyama vyote?tuweke sawa hapa tusipotoshane.

Ni CDM tu, Kuna chama kilipitia changamoto Kama CHADEMA?. Tuache unafiki Hadi wananchi waliogopa kuhusishwa na CHADEMA.
 
Kwaiyo inamaana Mwenyekiti ana tabia za Mnyama aitwae "HONEY BADGER" au wazalamo wanamwita "NYEGERE"!

CHADEMA=HONEY BADGERS
 
Huna hoja umejawa na roho mbaya na umasikini wa akili. Sukuma Gang mbali hili
Mbona ACT-Wazalendo walipoingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar mulikiwa mnawaponda sana.Sasa tulieni na nyie mle nondo za vichwa.

CCM ameoa ACT ila Bi.Mdogo CHADEMA alikuwa ana malingo sasa hivi amekubali show!
 
Kwani Samia hakuwepo kwenye serikali ya watekaji?tulieni mmeshikwa pabaya this time!

Mliwaponda sana ACT-Wazalendo walipoingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar,sasa zamu yenu sitaki nataka yenu ndiyo imewaponza.Mara ooh,hatuchukui ruzuku na hatuitambui serikali iliyotokana na uchaguzi wa 2020,sasa kimebadilika nini?,Samia si alikuwa Mgombea mwenza na alidiriki kusema kuwa,"ata tusipopiga kura, CCM itashinda tu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ACT walipokuwa wakitamka neno "Maridhiano", Chadema walikuwa wakiwaponda.

Chadema leo nao wameazima neno "Maridhiano" kujustify udalali wao wa kisiasa, halafu wanadhani WaTZ watawapa blank checque
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…