Rais wapunguzie kina Mbowe asali, wamepagawa

ACT walipokuwa wakitamka neno "Maridhiano", Chadema walikuwa wakiwaponda.

Chadema leo nao wameazima neno "Maridhiano" kujustify udalali wao wa kisiasa, halafu wanadhani WaTZ watawapa blank checque
Chadema walikua wanawatukana TLP, CUF, NCCR. Kumbe nao walikua wanataman hiyo nafasi
 
Rubbish, unashindwa kusema tu kilichoujaza moyo wako kwamba mmemisi kunywa damu za watu na kusambaza chuki na ubaguzi.

Hakika Sasa ndio tofauti inaonekana wazi Tanzania ilikuwa inatawaliwa na Lucifer himself.
Nakuona mvaa kobaz uko katika zamu ya kumtetea mvaa kobaz mwenzio
 
Too low.....

Umeandika ushabiki tu.

Huu ndio msimamo wenu Act ?
Hao ni wanafiki, waliotaka maridhiano yaguse pengine pote, isipokuwa kwenye ruzuku tu!.

Chadema kupokea ruzuku kumewauma sana.
 
Poleni sana, Samia anawaanika viongozi wenu waganga njaa.

Mnaumia lakini Mtafanyaje sasa Mbowe na genge lake wako busy na asali yao na wala hawana mpango na nyinyi na hamna cha kuwafanya!
Haka kazee kamejaa mihemko sana🥱🥱
 
Mbona ACT-Wazalendo walipoingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar mulikiwa mnawaponda sana.Sasa tulieni na nyie mle nondo za vichwa.

CCM ameoa ACT ila Bi.Mdogo CHADEMA alikuwa ana malingo sasa hivi amekubali show!
Chadema hawakutia neno kuhusu ACT kuingia SUK kwani wao siyo wa kwanza kuingia kwenye SUK ulianza CUF.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
mamayenu amelambishwa asali na kesho kule moshi anakabidhiwa kadi ua chadema huku mapoyoyo ya ccm yakibwekabweka hayajui yashike wapi.
 
Ila mkilamba nyie na kile chama chenu cha kigoma ni sawa sio?
 
Poleni sana, Samia anawaanika viongozi wenu waganga njaa.

Mnaumia lakini Mtafanyaje sasa Mbowe na genge lake wako busy na asali yao na wala hawana mpango na nyinyi na hamna cha kuwafanya!
samia ameyatelekeza mapoyoyo ua ccm naada ya kuyagundua kuwa kumbe alikua anaongoza mapoyoyo kaamua kuyaacha solemba.
 
Nataka nikuthibitishie kuwa hawa ni njaa kwa nini.

Kama siyo njaa hebu niambie mheshimiwa rais, wako wapi makamanda
 
Nataka nikuthibitishie kuwa hawa ni njaa kwa nini.

Kama siyo njaa hebu niambie mheshimiwa rais, wako wapi makamanda
Hujui hata kuandika bro. Juu umesema kwamba nataka kuwathibitishia kuwa ni njaa halafu ukakacha kithibitisha ukarukia prngine
 
Tofautisha kati ya siasa za maridhiano na siasa za kishosti kati ya chama tawala na upinzani. Hakuna siasa za hivyo zenye tija
We umezoea siasa za kutukana au vipi? Shida yenu mlizoeahwa na jpm kwamba ili uitwe mpinzani lazima.upigwe lisasi na lazima upambane na utawala bila sababu ya msingi
 
Kila kipeperushi mnachokiona huko barabarani mnakiokota, kukisoma, na kukiamini, hamna tofauti na wendawazimu[emoji1787][emoji1787]
Tutakuwa tunakuletea hivi vipeperushi vya kiwendawazimu ili uvihakiki kwanza kabla havijasambaa mitandaoni humu. Na kwa vile sasa kuna ruzuku (inayotokana na Covid 19 na uchafuzi wa 2020) bila shaka utakuwa unalipwa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
We umezoea siasa za kutukana au vipi? Shida yenu mlizoeahwa na jpm kwamba ili uitwe mpinzani lazima.upigwe lisasi na lazima upambane na utawala bila sababu ya msingi

Sasa yafaa nini kutokuwa chawa wa Magufuli ila kuwa chawa wa Samia?. Kimsingi haifai kuwa chawa wa mtu yeyote!.
Uchawa kwa Samia usidhani ndo utaifanya CCM isiibe chaguzi zijazo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…