Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Milioni 10 kuanzia makundiGoli moja ni milioni 5
Mapenzi yana siri kubwa usishangae mtu akilia....Hivi huyu siku mwanaye au mkwewe akiiona hii clip atamuambia nn?
Kwenye nini inashangaza?Inashangaza sana
Huyo ni nani kwani?Mapenzi yana siri kubwa usishangae mtu akilia....
Kumbuka sahv watu washamjazaGoli moja ni milioni 5
Mkuu huyu mama maisha yake siku zote yapo hivoNi mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Kama walivyoruhusu Vitabu vya kumkashifu JPM siku zinakuja huyu naye atawekwa kwenye vitabuAbaptokote siasa za Simba na Yanga ili msahau wanavyotupiga.
Post ya kipuuzi sanaNi mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Watanganyika tupo ktk wakati mgumu sanaNi mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Nini kinamliza huyu ?
Hakuna mzanzibar mwenye roho ya kumjali mtanganyika.Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Starehe ndo maisha yemyewe we dogo. Maisha ni mafupi mnoNi mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651
Amepata kitu kinaitwa "development fatigue".Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.
Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).
Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.
View attachment 3192651