Rais wetu anajali sana starehe kuliko maisha ya watu?

Rais wetu anajali sana starehe kuliko maisha ya watu?

Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Mkuu huyu mama maisha yake siku zote yapo hivo
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Post ya kipuuzi sana

Ana post kila siku matukio kadhaa…. Unataka adipose kabisa hata pongezi?

Pitia pages zake na za ikulu

Last week alone she had over 100 posts
 
Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Watanganyika tupo ktk wakati mgumu sana
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Hakuna mzanzibar mwenye roho ya kumjali mtanganyika.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mikusanyiko inapewa sana kipaumbele msimu huu.Hata kule Arusha kunamfurahisha sana!!.Mikusanyiko imekuwa kama ulevi kwa baadhi ya watu.Mpe maskini kileo asahau shida zake
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Starehe ndo maisha yemyewe we dogo. Maisha ni mafupi mno
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Ni mwepesi kutoa pongezi kwa timu za mpira mara tu zinapopata ushindi LAKINI hana wepesi huo kwa watu waliotekwa.

Anaona fahari kutoa zawadi ya fedha kwa timu ya taifa ama Simba na Yanga WAKATI kuna watu wanakufa kwa kukosa tiba mahospitalini kwa kuwa hawana uwezo wa kulipia matibabu (hawana bima).

Anafuja fedha nyingi kuanda tamadha la Kizimkazi badala kuwalipia bima ya afya wazee wote hapa nchini.

View attachment 3192651
Amepata kitu kinaitwa "development fatigue".
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom